MSAADA WA TAASISI YA NVeP WAENDELEA KUNUFAISHA TAASISI ZA KIJAMII NCHINI
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa (katikati) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi Milioni 25 kwa mwakilishi wa shirika la Youth Wellbeing Initiative (kushoto)....
JK AIPA PPAA CHANGAMOTO KUOKOA FEDHA ZA SERIKALI KATIKA MIRADI
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete akipokelewa na Mwenyekiti wa Mamlaka ya Rufani, Jaji Mstaafu Mhe. Sauda Mjasiri alipotembelea banda...
BARRICK NORTH MARA YALIPA BILIONI 3.7/ ZA USHURU WA HUDUMA TARIME...
Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow (katikati waliokaa), Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (wa tatu waliokaa), Makamu Mwenyekiti wa...
BASHE AHIMIZA USHIRIKIANO KATI YA NIRC NA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI
Na; NIRC DODOMA
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amehimiza ushirikiano kati ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri, katika kusimamia miradi...
BENKI YA NMB MLIPA KODI MKUBWA ZAIDI NA BORA ZAIDI TANZANIA
Katika kuendelea kuwa mshirika mkubwa wa maendeleo nchini, Benki ya NMB imetunukiwa tuzo 3 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ikiwa ni sehemu ya...
TANZANIA, UN TOURISM ZASAINI MAKUBALIANO YA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UTALII...
Na Mwandishi Wetu- Madrid, Hispania
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Shirika la Utalii Duniani la Umoja wa Mataifa (UN Tourism) zimesaini mkataba...