SPORTS
Home SPORTS
WAZIRI MKUU ASHIRIKI TAMASHA LA JOGGING LA EFM
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 16, 2024 ameshiriki katika Tamasha la Jogging lililoandaliwa na kituo cha Televisheni na Radio cha EFM.
Jogging hiyo...
MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEA KUIPA KIPAUMBELE SEKTA YA MICHEZO
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa sekta ya michezo inaendelea kuwezeshwa na kupewa kipaumbele kwa kuwa...
WAZIRI MKUU MAJALIWA AKABIDHI TUZO KWA WANA MICHEZO BORA 2024 JIJINI...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kike Bondia Grace Mwakamele wakati wa Hafla ya Utoaji wa Tuzo za Pili...
MAJALIWA: MIUNDOMBINU YA MICHEZO KUENDELEA KUBORESHWA
NA: MWANDISHI WETU,TABORA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule teule 56 nchini.
Amesema hadi kufikia Machi...
UFUNGUZI WA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA
Serikali inaamini kwenye uwekezaji katika michezo ya wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.