BUSINESS
Home BUSINESS
NAIBU KATIBU MKUU TAMISEMI ATEMBELEA BANDA LA (BoT) MAONESHO YA SABASANA
Rogatus Mativila Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu akipokea zawadi kutoka kwa Mariam Kopwe Afisa wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)...
TAASISI YA UTAFITI WA MIFUGO YAAHIDI USHIRIKIANO KWA WAFUGAJI
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) Prof. Erick Komba amesema taasisi hiyo ipo tayari muda wote kushirikiana na wafugaji na...
AIRTEL TANZANIA YAWAPA WALIMU MAFUNZO YA UJUZI WA KIDIJITALI KUPITIA MPANGO...
Mkurugenzi wa Machapisho na Utafiti kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Bw. Kwangu Zabron Masalu (Katikati), akizungumza jijini Dar es Salaam jana, wakati wa...
WAKULIIMA WATAKIWA KUUTUMIA MFUKO WA PEMBEJEO KUPATA FURSA ZA MIKOPO
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo Bi. Mwanahiba Mzee, akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Taasisi hiyo, kufahamu fursa zitolewazo na Taasisi hiyo.
Mkurugenzi...
BOT YASHUSHA KIWANGO CHA RIBA KUTOKA ASIMILIA 6 HADI 5.75
Na Lilian Ekonga, Dar es Salaam
Kamati ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imetangaza kushusha kiwango cha Riba ya Benki Kuu...
MKURUGENZI MKUU NHC AFANYA ZIARA SABASABA, AELEZA MAFANIKIO YA SHIRIKA
Na: Hughes Dugilo, Dar es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bw Hamad Abdallah amesema kuwa Shirika hilo limeendelea...