YANGA YAFUZU HATUA YA MAKUNDI SHIRIKISHO
Timu ya Dar es Salaam Young African (YANGA) imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya Michuano ya Shirikisho Barani Afrika kwa kuibuka na...
YANGA YAZIDI KUUSOGELEA UBINGWA, YAICHAPA KAGERA SUGAR 5-0
Na.Alex Sonna
MABINGWA Watetezi Yanga SC wameendelea kuukaribia Ubingwa wa 29 mara baada ya kuizamisha mabao 5-0 Kagera Sugar Mchezo wa Ligi...
SIMBA SC YAFIKISHA ALAMA 6, IKIICHAPA VIPERS 1-0 MICHUANO YA CAF
Timu ya Simba SC imefanikiwa kusogea hadi nafasi ya pili ya Kundi C kufuatia kuichapa timu ya Vipers goli 1-0 katika mchezo...
SIMBA QUEENS, YANGA PRINCESS KUUMANA MACHI 22
Na: Tima SultanĀ
WATANI wa jadi Simba Queens na Yanga Princess wanatarajia kushuka dimbani Machi 22 kuonyeshana ubabe kwenye Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti...
YANGA SC YAMOTO, YAICHAPA RIVER UTD 2-0 KWAO
Timu ya Wananchi Yanga SC imeichapa timu ya Rivers United ya Nigeria mabao 2-0 katika mchezo wa mkondo wa pili...
SIMBA SC YAPOKEA KICHAPO CHA 1-0 NA MLANDEGE FC
Wekundu wa Msimbazi Simba SC imepokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa timu ya Mlandege FC katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi CUP yanayoendelea...