SPORTS
Home SPORTS
AZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA 0:0 NA NAMUNGO FC RUANGWA.
RUANGWA, LINDI.TIMU ya Azam FC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni...
YANGA SC YAMOTO, YAICHAPA RIVER UTD 2-0 KWAO
Timu ya Wananchi Yanga SC imeichapa timu ya Rivers United ya Nigeria mabao 2-0 katika mchezo wa mkondo wa pili...
NAHODHA AGREY MORIS, SURE BOY NA MUDATHIR WASIMAMISHWA AZAM.
UONGOZI wa Azam FC umewasimamisha wachezaji wake watatu, beki na Nahodha, Aggrey Morris pamoja na Wasaidizi wake, viungo Salum Abubakar 'Sure Boy' na...
KOCHA MPYA SIMBA NI MSERBIA
MWANDISHI WETUKLABU ya Simba imemtangaza,Zoran Manojlovic kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akichukua mikoba ya Pablo Franco ambaye alichimbishwa Mei 31,2022.Kocha huyo raia wa...
SIMBA SC YAICHAPA KMC 3-1 KIRUMBA
Klabu ya Soka ya wekundu wa Msimbazi Simba SC imeendeleza ubabe wa ushindi kwa kuichapa timu ya Manispaa ya Kinondoni...
PABLO: KIKOSI KIKO IMARA DHIDI YA MTIBWA SUGAR
Na: Stella KESSY.Kocha Mkuu wa kikosi cha Simba amesema kuwa timu yake leo imeanza mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa jumamosi dhidi...