RC MAKONDA ATOA AHADI KUMJENGEA NYUMBA BIBI PENINA PETRO – ARUSHA
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda, ameahidi kumjengea nyumba ya vyumba viwili Bibi Penina Petro (70) Mkazi wa Kijiji cha Siwandete kata...
DK. NCHIMBI ATETA NA SHEIN NA SALMIN ‘KOMANDOO’
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amesema ushauri na maelekezo ya Viongozi Wastaafu wa Chama na...
M/RAIS AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA PAMOJA SJMT NA SMZ
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameongoza Kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri ya...
DKT. MWINYI AHUTUBIA MKUTANO WA NCHI ZA KUNDI LA G77+CHINA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi...
KINANA KUWASHA RORYA, KUANZA ZIARA YA KIKAZI APRIL 14
Na: Mwandishi Wetu
WAKATI Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana akitarajiwa kuanza ziara Aprili 14, 2024 tayari kuna mtafaruku kwa...
TANESCO YAWAPA TABASAMU WATOTO WA KITUO CHA NEW FARAJA MBURAHATI
Mkurugenzi wa New Faraja Center Zamda Juma akikabidhiwa vyakula mbalimbali na Mhandisi Christopher Nguma Mhandisi Mkuu Mkoa wa Kinondoni Kusini ( aliyewakilisha uongozi wa...