NEEMA ADRIAN
WAZIRI MKUU AZINDUA MITAMBO YA KISASA YA KURUSHIA MATANGAZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 15, 2024 amekagua na kuzindua mitambo na vifaa vipya vya kurushia matangazo vya kampuni ya Azam Media Limited.
Vifaa...
WAZIRI MHAGAMA AWASHA UMEME CHIHURUNGI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho, akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa...
SHILINGI BILIONI 4.4 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA DKT...
Na Mwandishi Wetu,
Namtumbo
Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 4.4 kwa ajili ya kujenga shule ya Sekondari ya wasichana yenye michepuo ya masomo ya Sayansi wilayani...
DIWANI RORYA ALIA NA UFISADI TARURA ASIMULIA MBELE YA WANANCHI MILIONI...
Na: MWANDISHI WETU
MARA
DIWANI wa Kata Nyathorogo Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Dalmas Nyagwal, ameweka wazi namna wajanja wachache ndani ya Wakala wa...
RAIS SAMIA AWASILI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, Wananchi, Viongozi wa Chama Cha...
MAKAMO WA RAIS ZIARANI KIGOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wananchi wa Mji wa Makere Wilaya ya Kasulu wakati...