NEEMA ADRIAN
MSAMA AREJESHA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama leo July 01, 2025 amefika katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala Jijini Dar es...
MSAMA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama leo Juni 29, 2025 amefika katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala na kuchukua Fomu...
SEKRETERIETI YA CCM IKITATHMINI UCHUKUAJI WA FOMU
Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel...
WAZIRI MKUU AAGANA NA BALOZI WA ANGOLA ALIYEMALIZA MUDA WAKE NCHINI
Ampongeza kwa kutumikia nchi yake kwa mafanikio makubwa ya kidiplomasia nchini._
Balozi de Oliveira asema Angola itaendelea kuwa mshirika wa karibu wa Tanzania._
WAZIRI MKUU Kassim...
RAIS SAMIA ATAJA MAFANIKIO SEKTA YA NISHATI 2020-2025
Ni wakati akihitimisha shughuli za Bunge jijini Dodoma
JNHPP, Umeme Vijijini, Umeme wa Gridi Kigoma na Katavi; Ni baadhi ya Vielelezo vya mafanikio
Ataja miradi mikubwa...
DKT. SAMIA AMUAGIZA DKT. KIMAMBO KUSIMAMIA WELEDI NA UONGOZI MUHIMBILI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa tiba na wataalaam wenye utaalam...