LOCAL
Home LOCAL
WATUMISHI WA BRELA WASISITIZIWA KUWA NA NIDHAMU KAZINI
Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamesisitizwa kuwa na nidhamu wanapotekeleza majukumu yao ya kazi ili kuleta matokeo chanya kwa...
MH.DKT MPANGO AUNGANA NA WAUMINI PAMOJA NA VIONGOZI MBALIMBALI WA KANISA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameungana na waumini pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa katoliki kushiriki...
DKT. JINGU AITAKA JAMII KUWATUNZA WAZEE IKIWEMO KUPINGA VITENDO VYA UKATILI...
AWASHAURI VIJANA KUJIANDAA NA UZEE
Na WMJJWM – Mwanza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John...
MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA WCF
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Julai 04, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katik maadhimisho ya miaka kumi ya Mfuko wa Fidia...
AJIRA ZAIDI YA 2000 ZATENGENEZWA MAONESHO YA AJIRA YA CHINA TANZANIA...
Wizara na Kampuni za China Kuajiri Vijana Zaidi ya 2,000 Nchini
Wizara ya Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) kwa...
MAZINGIRA WEZESHI YA SERIKALI YAFUNGUA FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI KUPITIA TAWA
Milango ya uwekezaji bado iko wazi
Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya...