TMDA YATOA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA MOROGORO.

0
TMDA yatoa elimu juu ya matumizi sahihi na dawa na utoaji wa madhara yatokanayo na matumizi ya dawa kwa wanafunzi wa shule za Sekondari ...

WASAIDIENI WABUNIFU WACHANGA – WAZIRI MKUU

0
DODOMA.WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi na mamlaka ambazo zinashiriki kuendeleza wabunifu wachanga zihakikishe zinawawezesha kubiasharisha ubunifu na uvumbuzi wao. “Taasisi za sayansi na teknolojia;...

NTD IMEJIPANGA KUTOKOMEZA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IFIKAPO 2030

0
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa huo Bw. Rashid Mchatta akifungua kikao kazi Cha uraghibishaji na uhamasishaji...

MNEC HAPPINESS MGONGO AWATAKA VIJANA KUMSAIDIA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN

0
Na:Halfani Akida.Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa, Bi. Happiness Mgongo amewataka vijana wa Chama Cha Mapinduzi na Tanzania kwa ujumla kumsaidia kumuunga mkono na kumsaidia...

NANDY AZINDUA MSIMU WA PILI TAMASHA LA ‘NANDY FESTIVAL’ 2021

0
DAR ES SALAAM.DIVA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Faustina Mfinanga, ‘Nandy’ amezindua msimu wa pili  wa tamasha la Nandy Festival kwa mwaka 2021...

RAIS SAMIA KUTARAJIWA KUWA MGENI RASMI BARAZA LA IDDI MWAKA HUU.

0
Na: MWANDISHI WETU.Baraza la Waislam nchini  Bakwata, limetangaza kuwa mgeni rasmi katika Baraza la Iddi mwaka huu, atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...