LATEST ARTICLES

NHC INAVYOKWENDA KUGEUZA ENEO LA URAFIKI KISASA

0

 Na mwandishi wetu UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha mandhari na maisha ya wananch. NHC imejipatia sifa nzuri miongoni mwa Watanzania kutokana na ubunifu wake, utekelezaji, na usimamizi wa miradi...

NHC INAVYOKWENDA KUGEUZA ENEO LA URAFIKI KISASA 

0

 Na mwandishi wetu UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha mandhari na maisha ya wananch. NHC imejipatia sifa nzuri miongoni mwa Watanzania kutokana na ubunifu wake, utekelezaji, na usimamizi wa miradi...

BANDARI YA DSM YAPOKEA MELI KUBWA YA MIZIGO 

0

Meli kubwa ya mizigo ya MSC ADU -V yenye urefu wa mita 294.1 na uwezo wa kubeba makontena 4000 ikiwasili katika Bandari ya Dar es Salaam jana. Mkuu wa Kitengo cha Uratibu kutoka Kampuni ya DP WORLD, Bw. Emmanuel Kakuyu (kushoto) akizungumza na Meneja Mizigo Mchanganyiko wa Bandari ya Dar es Salaam chini ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini...

UN WOMEN’S YATOA MAPENDEKEZO YAKE YA MISWADA YA UCHAGUZI NA VYAMA VYA SIASA 2023 KWA MLENGO WA JINSIA

0

Mwezeshaji na Mtaalam Kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania, aliyeongoza kuandaa miswada mitatu ya uchaguzi na vyama vya siasa, 2023 katika mlengo wa Kijinsia. Dkt. Victoria Lihiru, akitoa mada juu ya uchambuzi na mapendekezo ya miswada hiyo kwa Wahariri wa Habari, katika Kikao kazi kilichoandaliwa na UN WOMEN'S chini ya Mradi wa 'Wanawake Wanaweza' mradi wa Uongozi na Haki za...

UN WOMEN YASISITIZA KUFANYIWA KAZI MAPENDEKEZO YA KONGAMANO LA AfCFTA LILILOFANYIKA JIJINI DAR

0

Mwakilishi Mkazi wa UN Women Tanzania Hodan Addou (kushoto) akizungumza alipokuwa akiongoza mkutano wa wanawake kutoka katika nchi mbalimbali Barani Afrika kujadili changamoto zinazowakabili wanawake na vijana katika Biashara na kupokea maoni ya wadau hao namna ya kufanyiakzi changamoto. Kikao hicho kilifanyika Septemba 14,2022 wakati wa kuhitimisha Kongamano la Afrika la Wanawake na Vijana katika Biashara chini ya Sekretarieti...

RAIS SAMIA AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI ALIOWATEUA

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha alipowaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua, hafla uliofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo January 13,2026.  

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA MAHAKAMA NA MAJAJI TANZANIA

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowasili katika Viwanja vya jengo la Makao Makuu ya Mahakama Mkoani Dodoma tayari kwa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama Cha Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) leo January 13,2026.  

KISHINDO CHA DKT. MIGIRO, AKIWASILI UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE

0

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi-CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo tarehe 13.1.2026 amewasili katika ukumbi wa Diamond Jubilee kwa ajili ya kuzungumza na mabalozi wa mashina wa wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es salaam. Leo ikiwa ni hitimisho ya ziara yake ya kimkakati ya siku tatu mkoani Dar es salaam iliyobeba kauli mbiu isemayo #ShinaLakoLinakuita#. Tayari ameshafanya ziara katika wilaya...

TFF YAMPONGEZA MAKONDA KUTEULIWA KUIONGOZA SEKTA YA HABARI

0

"HONGERA MHE. PAUL CHRISTIAN MAKONDA kwa kuteuliwa Waziri wa Habari, Utamaduni, "TEF tunakuahidi ushirikiano katika kuendeleza taaluma ya habari nchini, hasa eneo la UCHUMI WA VYOMBO VYA HABARI ambalo ni msingi wa uendelevu wa tasnia ya habari"

WATANZANIA WATAKIWA KUWA MAKINI NA WAPOTOSHAJI MITANDAONI-MCHANGE

0

Na: Mwandishi Wetu. MWENYEKITI  wa kituo cha wanahabari watetezi wa rasilimali na taarifa – MECIRA, Habibu Mchange, amewataka Watanzania kuziangalia kwa macho makali kampeni za upotoshaji zinazofanywa mitandaoni zinazopelekea baadhi ya watu kutiwa hofu kiasi cha kukaribia kuamini uwongo unaosambazwa, ambao mara nyingi huendeshwa na akaunti bandia ni watanzania ambao wako ndani ya nchi na wengine wako nje nchi. Akizungumza katika...

DKT.MIGIRO KUUNGURUMA ILALA KESHO, AKIHITIMISHA ZIARA JIJINI DAR ES SALAAM

0

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi-CCM, Dokta Asha-Rose Migiro, kesho tarehe 13.1.2026 anatarajiwa kuhitimisha ziara yake ya kimkakati katika wilaya ya Ilala, mkoani Dar es salaam, kwa kuzungumza na Mabalozi wa mashina. Ziara ya Dokta Migiro iliyobeba kauli mbiu isemayo ShinaLakoLinakuita, tayari imeshafanyika katika wilaya ya Temeke, Kigamboni, Ubungo na Kinondoni na kesho itafanyika wilayani Ilala kwa kuzungumza pia na...