LATEST ARTICLES

NHC INAVYOKWENDA KUGEUZA ENEO LA URAFIKI KISASA

0

 Na mwandishi wetu UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha mandhari na maisha ya wananch. NHC imejipatia sifa nzuri miongoni mwa Watanzania kutokana na ubunifu wake, utekelezaji, na usimamizi wa miradi...

NHC INAVYOKWENDA KUGEUZA ENEO LA URAFIKI KISASA 

0

 Na mwandishi wetu UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha mandhari na maisha ya wananch. NHC imejipatia sifa nzuri miongoni mwa Watanzania kutokana na ubunifu wake, utekelezaji, na usimamizi wa miradi...

BANDARI YA DSM YAPOKEA MELI KUBWA YA MIZIGO 

0

Meli kubwa ya mizigo ya MSC ADU -V yenye urefu wa mita 294.1 na uwezo wa kubeba makontena 4000 ikiwasili katika Bandari ya Dar es Salaam jana. Mkuu wa Kitengo cha Uratibu kutoka Kampuni ya DP WORLD, Bw. Emmanuel Kakuyu (kushoto) akizungumza na Meneja Mizigo Mchanganyiko wa Bandari ya Dar es Salaam chini ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini...

UN WOMEN’S YATOA MAPENDEKEZO YAKE YA MISWADA YA UCHAGUZI NA VYAMA VYA SIASA 2023 KWA MLENGO WA JINSIA

0

Mwezeshaji na Mtaalam Kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania, aliyeongoza kuandaa miswada mitatu ya uchaguzi na vyama vya siasa, 2023 katika mlengo wa Kijinsia. Dkt. Victoria Lihiru, akitoa mada juu ya uchambuzi na mapendekezo ya miswada hiyo kwa Wahariri wa Habari, katika Kikao kazi kilichoandaliwa na UN WOMEN'S chini ya Mradi wa 'Wanawake Wanaweza' mradi wa Uongozi na Haki za...

UN WOMEN YASISITIZA KUFANYIWA KAZI MAPENDEKEZO YA KONGAMANO LA AfCFTA LILILOFANYIKA JIJINI DAR

0

Mwakilishi Mkazi wa UN Women Tanzania Hodan Addou (kushoto) akizungumza alipokuwa akiongoza mkutano wa wanawake kutoka katika nchi mbalimbali Barani Afrika kujadili changamoto zinazowakabili wanawake na vijana katika Biashara na kupokea maoni ya wadau hao namna ya kufanyiakzi changamoto. Kikao hicho kilifanyika Septemba 14,2022 wakati wa kuhitimisha Kongamano la Afrika la Wanawake na Vijana katika Biashara chini ya Sekretarieti...

Dkt. TULIA AMKABIDHI NYUMBA YA KUISHI MZEE AMBALILE MWALA MOROGORO

0

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 26 Julai, 2024 amemkabidhi nyumba ya kuishi Mzee Ambalile Mwala ambaye amekuwa akiishi katika mazingira magumu pamoja na familia yake katika Kata ya Ching'anda Mlimba Mkoani Morogoro. Nyumba hiyo imejengwa na taasisi ya Tulia Trust. Pamoja na...

RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAKATIBU WAKUU IKULU DAR ES SALAAM

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Makatibu Wakuu kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 26 Julai, 2024. Makatibu Wakuu hao walioapa ni: Eliakim Chacha Maswi kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria. Mary Gasper Makondo kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma. Kiseo Yusuf...

RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MANAIBU MAWAZIRI IKULU DAR ES SALAAM

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Manaibu Mawaziri kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 26 Julai, 2024. Manaibu Mawaziri hao walioapa ni: Mhe. Deus Clement Sangu kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mhe. Dennis Lazaro Londo kuwa Naibu...

RAIS SAMIA AKIWAAPISHA MAWAZIRI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Mawaziri kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 26 Julai, 2024. Mawaziri hao walioapa ni: Mhe. Jerry William Silaa kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba...

WATUMISHI WIZARA YA FEDHA WAHIMIZWA KUENDELEA KUCHAPA KAZI

0

  Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza wakati akifungua Kikao cha Watumishi wa Wizara ya Fedha kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (hayupo pichani), kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP), jijini Dodoma, ambapo amewaagiza watumishi kuimarisha mfumo wa ukusanyaji wa mapato na kuratibu upatikanaji wa fedha...

SSI ENERGY TANZANIA LTD YASAINI MKATABA WA UJENZI WA MRADI WA UMEME JUA WA MEGAWATI 100MW KAHAMA

0

  Kampuni ya uzalishaji wa umeme jua ambayo inamilikiwa na Mhe. Stephen Masele ambaye ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Shinyanga Mjini na Makamu wa Rais Mstaafu wa Bunge la Afrika imesaini mkataba wa ujenzi wa megawati 100 za umeme wa Solar ambao utaingizwa katika gridi ya taifa.   Hafla ya utiaji saini kati ya SSI ENERGY TANZANIA LTD na Mhandisi Alex Wu ambaye...