MABALOZI WA MASHINA NI NGUZO YA KUKIPAMBANIA CHAMA-DKT MIGIRO
Atoa wito kwa viongozi wa ngazi zote za Kitaifa, kuhudhuria vikao vya Chama kwenye ngazi za Mashina. Asema ni mahala pa kuikusanya jamii pamoja, kutangaza kazi nzuri inayofanywa na Rais Dkt. Samia. Ala chakula na Mabalozi wa mashina Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Asha-Rose Migiro, amesema Mabalozi wa Mashina ndiyo nguzo ya kukipambania Chama, kwa kuwa ni macho, masikio...
DKT. MWIGULU AKUTANA NA GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.
SHINA LA MAKUNDUCHI MMEDHIHIRISHA KWA VITENDO KUWA MAENDELEO HAYANA CHAMA-.DKT.MIGIRO
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Dkt.Asha Rose Migiro,amezindua Shina la wakereketwa wa CCM Makunduchi lililopo Mtaa wa Uhuru Wilaya ya Dodoma Mjini,na kuwapongeza kwa kutumia shina hilo kama sehemu ya kujiongezea kipato bila ya kujali itikadi zao. Akizungumza na wajumbe hao Januari 20,2026,kabla ya kuzungumza na Mabalozi wa Mashina wa Mkoa wa Dodoma,Dkt.Migiro,amesema hatua hiyo inaonyesha umoja na kudhihirisha kuwa...
KANISA LA MLIMA WA MOTO LAZINDUA MAOMBEZI YA KUIOMBEA TANZANIA
::::::::: Kanisa la Mlima wa Moto Tanzania limesema linatarajia kufanya maombezi maalum ya kuliombea Taifa la Tanzania kupitia Kongamano la Neno la Mungu lililopewa jina la *Anza Mwaka na Bwana*. Akizungumza na waandishi wa habari katika Kanisa la Mlima wa Moto lililopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam, Mchungaji Samwel Hillary, ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya kongamano hilo,...
TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA JAPAN, IFAD
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yoichi Mikami, aliyefika kwa ajili ya kujitambulisha na kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo kati ya Tanzania na Japan, katika Ofisi ya Waziri wa Fedha, Treasury Square, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb),...
TARURA ARUSHA YATAKIWA KUAINISHA MAENEO YENYE CHANGAMOTOBZQ BARABARA
Arusha Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Arusha imeagizwa kuanisha maeneo yote yenye changamoto za barabara katika maandalizi ya bajeti ya mwaka 2026/27 ili kuondoa kero zinazowakabili wananchi hususan miundombinu ya barabara ili kuweza kusafirisha mazao na bidhaa mbalimbali kwa wakati. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za...







