ENTERTAINMENTS
DIAMOND PLATNUMZ ASHINDA TUZO ZA MTV EMA
Msanii wa muziki Bongo Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda Tuzo za MTV EMA katika kipengele cha Best African Act.
Kwenye kipengele...
BEN POL KUJA NA ALBUM MPYA YA FLAMINGO HIVI KARIBUNI
Na: Neema Adriano
Msanii wa muziki wa Bongofleva na miondoko ya Rnb Bernard Paul 'Ben Pol' anatarajia kuzindua Albam yake ya tatu ambayo ameipa...
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AFURAHIA TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo wakati kikundi cha ngoma za asili cha Shomoo kilipokuwa kikitoa burudani...
RAIS SAMIA AMKABIDHI CHETI MUIGIZAJI MAARUFU WA FILAMU NCHINI CHINA JIN...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Muigizaji maarufu wa Filamu nchini China, Jin Dong cheti cha Ubalozi...
BARNABA ASAJILI JINA LA BIASHARA
Mwanamziki na Mkurugenzi wa Hightable Sound Entertainment, Bw. Elias Barnabas maarufu kwa jina la "Barnaba Classic", amefanikiwa kusajili jina la Biashara (Poa Water), ambalo...
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA TAMASHA LA ACCES, WADAU WA MUZIKI ZAIDI...
Na Eleuteri Mangi, WUSM, Dodoma
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amefanya kikao na Mkurugenzi wa Taasisi ya “Music in...










