UPANDISHAJI BEI KIHOLELA NI KOSA LA JINAI: DKT. KIJAJI
BUNGENI DODOMA.Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji( Mb.) amesema upandaji bei holela ambao kamwe haukubaliki, ni kosa la jinai na...
WAZIRI KAIRUKI AZINDUA VITENDEA KAZI VYA DORIA MISITUNI VYENYE THAMANI YA...
• Asisitiza lengo ni kuboresha utendaji kazi
Na Happiness Shayo- Dar es Salaam
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amezindua...
SABABU ZA STAMICO KUWA KINARA MAONESHO YA SABASABA 2021
Na: Hughes Dugilo, DAR ES SALAAM. Maonesho ya 45 ya Biashara ya Kimataifa yaliyoanza Juni 28 mwaka huu na kufunguliwa rasmi na...
WAFANYABIASHARA WAZAWA MKOANI MARA WAENDELEA KUNUFAIKA NA MAFUNZO KUPITIA PROGRAMU YA...
Mkuu wa Wilaya (DC) ya Rorya, Juma Chikoka, aliyekuwa Mgeni Rasmi akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mara akiongea katika mahafali hayo.
Meneja Mkuu wa Barrick...
SERIKALI IMEJIPANGA KUENDELEZA MIRADI MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA MADINI HAPA NCHINI.
Na. Costantine James, Geita.Waziri wa Madini Mhe, Dkt. Doto Biteko amesema serikali imejipanga kuhakikisha inashirikiana vizuri na wawekezaji mbalimbali katika sekita ya madini hapa...
NCT KUANZISHA MAFUNZO YA MUDA MFUPI YA URATIBU WA MATUKIO
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT), Taaluma, Tafiti, na Ushauri Bi. Jesca William akizungumza alipokuwa akifungua mkutano kati Chuo hicho na...