RAIS SAMIA AWEKA MKAKATI MAPINDUZI YA KILIMO, KUPITIA KILIMO CHA UMWAGILIAJI
Dodoma,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amefungua rasmi Bunge la 13 jijini Dodoma, akitoa dira mpya ya...
TUTAENDELEA KUKUZA SEKTA YA UTALII TUKILENGA WATALII MILIONI 8 IFIKAPO 2030...
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukuza Sekta ya Utalii ikilenga kufikia...
SERIKALI YALENGA KUONGEZA MAPATO YASIYO YA KODI KUTOKA KWA MASHIRIKA YA...
Na: mwandishi wa OMH
Dodoma. Rais wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itafanya mageuzi ya mashirika ya umma ili kuboresha ufanisi, uwazi...
ZAIDI YA WAGENI 140 KUTOKA MATAIFA MBALIMBALI WATEMBELEA HIFADHI YA KILWA...
Watopezi wa Masuala ya Malikale Wanogesha Ziara ya Wageni hao.
Lindi
Hifadhi ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia ya Magofu ya Kale ya Kilwa Kisiwani na...
BENKI YA ABSA TANZANIA NA ASA MICROFINANCE YAADHIMISHA MIAKA MINNE YA...
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (Katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati akitangaza mafanikio ya ushirikiano wa kibiashara...
TISEZA YAELEZA MIKAKATI YA KUVUTIA UWEKEZAJI NCHINI
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi (TISEZA) Bw. Gilead Teri, akizungumza katika kikao kazi na wahariri wa vyombo vya...










