.jpeg)
Warsha hiyo iliyoandaliwa na Benki ya CRDB inaenda sambamba na kauli mbiu ya “Instaprenyua Smatsha Biashara” ikiwa na lengo la kuwahamasisha wajasiriamali kurasimisha biashara zao ili kukidhi soko la ushindani.
Warsha hiyo iliyoandaliwa na Benki ya CRDB inaenda sambamba na kauli mbiu ya “Instaprenyua Smatsha Biashara” ikiwa na lengo la kuwahamasisha wajasiriamali kurasimisha biashara zao ili kukidhi soko la ushindani.