PROF. MAKUBI ASHIRIKI BONANZA LA MAZOEZI JIJINI DAR.
DAR ES SALAAM.Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi leo ameshiriki Bonanza la Mazoezi ya kutembea lililoanzia Mlimani City Dar kwa ajili ya...
WAZIRI MKUU AIPONGEZA BENKI YA CRDB KWA KUANDAA BONAZA LA MICHEZO...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishiriki mazoezi kwenye bonanza la michezo (CRDB Pamoja Bonanza),wakati wa Bonanza la Michezo lililoandaliwa na Benki ya CRDB kwa...
STARTIMES NA K4S WAHAIDI KUBORESHA FURSA KWA VIJANA
DAR ES SALAAM.Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi K4S Biko Scanda amehaidi kushirikiana na Kampuni ya Startimes kidhati ili kuhakikisha hali ya kiusalama zaidi katika...
MAHAKAMA YA CAS KUSIKILIZA KESI YA YANGA DHIDI YA MORRISON JUNI...
MAHAKAMA ya Usuluhishi wa Kimataifa ya Michezo (CAS) imetupilia mbali pingamizi la winga Mghana, Bernard Morrison kutaka kesi iliyofunguliwa na Yanga dhidi yake itupwe.
CARLINHOS ALIVYOTIMKA JANGWANI
DAR ES SALAAM.KLABU ya Yanga ya Jijini Dar es Salaam imemeachana na kiungo wake Muangola, Carlos Sténio Fernandes Guimarães do Carmo, maarufu kama Carlinhos...
RAIS DK. MWINYI AFANYA MAZUNGUMZO NA MCHEZAJI MAMADOU WA CRYSTAL PALACE...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Soka ya Crystal...