MAJALIWA: SERIKALI IMEJIPANGA KUDHIBITI MAGUGUMAJI ZIWA VICTORIA
Amshukuru Rais Dkt. Samia ununuzi wa mitambo ya uteketezaji wa magugumaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha changamoto ya uwepo wa magugumaji katika ziwa Victoria inapatiwa ufumbuzi ili kuwezesha shughuli za kijamii ziweze kuendelea katika maeneo hayo. ”Ninamshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia kutoa fedha za ununuzi wa mitambo mikubwa ya kuteketeza magugumaji...
MAJALIWA: KAMILISHENI UCHUNGUZI WA WIZI WA VIFAA VYA HOSPITALI
Asema Serikali haitomvumia mtumishi atakayethibitika kuhusika na wizi_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Sengerema wanaodaiwa kuhusika na wizi wa vifaa hospitalini hapo ili watakaothibitika wachukuliwe hatua za kisheria. ”Watumishi mnatakiwa kuwahudumia wananchi kwa uaminifu na uadilifu mkubwa na Serikali haitomvumilia yeyote atakayethibitika kuhusika na wizi. Ni...
PURA YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA SEKTA GESI ASIIALIA MIAKA MINNE YA Dkt. SAMIA
Mkurugenzi Mkuu wa lMamlaka ya Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Bw. Charles Sangweni akizungumza katika kikao kazi Kati ya Ofisi ya Msajili wa Hazina, Jukwaa la Wahariri TEF na PURA kilichofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Regency Jijini Dar es Salaam Mei 19, 2025. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Ofisi ya Msajili wa Hazina, Sabato Kosuri...
BASATA YAMPA KIBALI MILLEN HAPPINESS MAGESE KUANDAA MASHINDANO YA MISS UNIVERSE
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)Dk.Kedmon Mapana akizungumza wakati wa kutoa kibali kwa Mwanamitindo wa Kimataifa Millen Happiness Magese (kushoto) kuandaa mashindano ya Miss Universe nchini Tanzania .Kulia ni Miss Universe Tanzania Judith Ngussa. Na Mwandishi Wetu BARAZA la Sanaa la Taifa(BASATA)limetoa baraka na kibali kwa Mwanamitindo wa Kimataifa na Mrembo wa Tanzania Millen Happiness Magese kupitia kampuni...
MAKALLA: DKT SAMIA AMEINUA ZAO LA KAHAWA MKOA WA KAGERA
BUKOBA: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi an Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, CPA Amos Makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa mkombozi kwa kuinua zao la Kahawa mkoani Kagera. Makalla ameeleza hayo leo Mei 18,2025 akizungumza na wananchi katika Wilaya ya Bukoba Mjini mkoani Kagera akiwa katika ziara yake ya kikazi ya siku saba katika mikoa ya Kanda ya...
SERIKALI IPO KAZINI NA INAENDELEA KUFANYAKAZI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali ipo kazini na inaendelea kufanyakazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi katika maeneo yote nchini na bila ya ubaguzi wa aina yoyote. Kadhalika, Mheshimiwa Majaliwa ametoa wito kwa wananchi waendelea kushirikiana katika kudumisha amani na utulivu na kwamba wasiwasikilize watu wenye viashiria vya uvunjifu wa amani wanaopita katika maeneo yao. Ameyasema hayo leo (Jumapili,...