NCAA YANADI VIVUTIO VYA UTALII MAADHIMISHO YA SIKU YA NYUKI DUNIANI YALIYOFANYIKA DODOMA

0

Na Philomena Mbirika, Dodoma Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imetumia fursa ya maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani yanayofanyika jijini Dodoma kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii vinavyopatikana katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro. Maadhimisho hayo yaliyoanza Mei 17 na kuhitimishwa leo Mei 20, 2025 katika Viwanja vya Chinangali Park Dodoma Mgeni rasmi akiwa ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano...

KAMATI MPYA YA UKAGUZI WIZARA YA NISHATI YAFANYA ZIARA KATIKA MIRADI YA UMEME MKOANI PWANI

0

Yapongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme Kamati mpya ya Ukaguzi ya Wizara ya Nishati imefanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani ili kujionea utekelezaji wa miradi hiyo hali itakayopelekea Kamati husika kumshauri vyema Katibu Mkuu Wizara ya Nishati juu ya usimamizi wa rasilimali za Wizara ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa miradi. Ziara hiyo imefanyika katika Mradi wa kuzalisha umeme...

RAIS SAMIA AMKARIBISHA RAIS WA JAMHURI YA NAMIBIA MH.NETUMBO

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei, 2025.     

WAWEKEZAJI WA OMAN KUCHOCHEA MAPINDUZI SEKTA YA MAKAZI NCHINI

0

Na: Mwandishi wetu, Dar es Salaam.  Tanzania imepiga hatua isiyosahaulika katika historia ya maendeleo yake baada ya kupata ziara ya kikosi cha wawekezaji wa ngazi ya juu kutoka Ufalme wa Oman, walioleta fursa kubwa za mabadiliko makubwa katika sekta ya makazi na maendeleo ya miji. Ujumbe huo uliongozwa na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al Shidha, na ulikuwa na...

MAJALIWA: WATANZANIA TUENDELEE KUMTUNZA MDUDU NYUKI

0

Asema lengo ni kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi imara_ Azindua mpango wa kuendeleza sekta ya ufugaji nyuki kwa Tanzania iliyo bora_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi ulio imara kwa kuwa takribani asilimia 80 ya mimea ya chakula inayozalishwa duniani huchavushwa na...

BALOZI NCHIMBI ABORESHA TAARIFA ZAKE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

0

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye kituo cha uandikishaji wapiga kura kilichopo katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kilimani, Mtaa wa Kilimani, jijini Dodoma, kwa ajili ya kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura, leo tarehe 20 Mei, 2025 .