WIZARA YA MADINI KUREJESHA MINADA YA NDANI NA KIMATAIFA MADINI YA VITO

0

●Itafanyika ndani ya nchi na nje ya nchi ●Itaendeshwa na Tume ya Madini kushirikiana na Soko la Bidhaa Tanzania ●Marekebisho ya Sheria na Kanuni yakamilika ⚫️ Ni utekelezaji wa Rais Samia kukuza biashara ya Tanzanite Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Madini inarudisha minada ya ndani ya madini ya vito itakayofanyika katika maeneo ya uzalishaji hususan Mirerani, Mahenge, Tunduru, Dar es salaam, Arusha na...

BALOZI NCHIMBI: DEMOKRASIA NA HAKI ZA KIRAIA KUENDELEA KUIMARIKA CHINI YA RAIS SAMIA

0

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameithibitishia Jumuiya ya Kimataifa kuwa masuala ya demokrasia na haki za binadamu yataendelea kuimarika zaidi nchini Tanzania chini ya uongozi wa Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Balozi Nchimbi aliyasema hayo alipokutana na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Mhe. Dr. Mehmet...

SERIKALI YAWEKA MKAZO KUKUZA TASNIA YA UFUGAJI WA KUKU

0

Vijana Wahimizwa Kujiajiri Kupitia Ufugaji Kuku Dkt. Biteko Atoa Maagizo kwa Wizara ya Mifugo Kukuza Tasnia ya ufugaji wa Kuku Watanzania Wahimizwa Kufuga Kibiashara sio Kitamaduni Mkutano wa Kwanza wa Tasnia ya Kuku na ndege wafugwao Kusini mwa Afrika Wafanyika Tanzania Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt....

WAFUGAJI WAMETAKIWA KUACHA KUFUGA KWA MAZOEA

0

NA FARIDA MANGUBE Wafugaji wametakiwa kuachana na ufugaji wa mazoea badala yake watumie ushauri wa wataalamu wa afya ya mifugo ili kuongeza uzalishaji utakao leta tija kwa wafugaji sambamba na kudhibiti magonjwa. Ushauri huo umetolewa na Rasi wa Ndaki ya Tiba ya Wanyama na Sayansi za Afya, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Profesa Esron Karimuribo wakati wa hafla ya...

MPASUKO MKUBWA ALIOUACHA LISSU IKUNGI: MBINU ZA UPINZANI KUGAWA WATU ZAFICHUKA

0

Huko Singida, wilaya ya Ikungi, siasa za uadui na chuki zinazoenezwa na Tundu Lissu zimeacha mpasuko mkubwa miongoni mwa wanachama wa Chadema. Siasa hizi za chuki zinazo anzia ngazi ya taifa, sasa zimefika mpaka kwa wanachama wa ngazi za chini. Lissu amechochea mgawanyiko kila kona anapopita, na kuacha uhasama mkubwa kutokana na ugomvi wake na Mbowe. Lissu, ambaye siasa zake zinalenga kulipiza...

WANAWAKE WAHIMIZWA KUCHUKUA MIKOPO INAYOTOLEWA NA SERIKALI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

0

KAIMU Afisa Ustawi wa Jamii Jiji la Dodoma Dkt. Faudhia Mohamed,akizungumza wakati wa Maadhimisho ya siku ya Mwanamke anayeishi Kijijini yaliyofanyika leo Oktoba 15,2024 katika Kata ya Mpunguzi Jijini Dodoma Na.Gideon Gregory-DODOMA KAIMU Afisa Ustawi wa Jamii Jiji la Dodoma Dkt.Faudhia Mohamed ametoa rai kwa wanawake kwenda katika Halmashauri kuchukua mikopo ya wakina Mama inayotolewa na Serikali ili kuweza kujikwamua kiuchumi...