HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI MAY 8-2025.
http://HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI MAY 8-2025.
PUMA ENERGY TANZANIA YAKABIDHI ZAWADI SHINDANO LA UCHORAJI KAMPENI YA USALAMA BARABARANI MASHULENI
Afisa mnadhimu wa Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi (SACP) Butusyo Mwambelo, akimkabidhi mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ufukoni, Jackson Masamaki, cheti na fedha Sh. 500,000 baada kuibuka mshindi katika mashindano ya kuchora picha zenye ujumbe wa usalama barabarani, zilizotolewa na Puma Energy Tanzania kupitia Kampeni ya Usalama Barabarani mashuleni, katika shule hiyo,...
WAZIRI KABUDI AITAMBULISHA RASMI BODI YA ITHIBATI BUNGENI
Kuanza Mwaka wa fedha 2025/26 kwa mafunzo. Na Mwandishi Wetu, JAB Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na kubainisha kwamba katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 itaanza kwa kutoa mafunzo kupitia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi wa Habari. Waziri Kabudi ametoa utambulisho huo leo...
RAIS SAMIA ATANGAZA SIKU 7 ZA MAOMBOLEZO KIFO CHA MZEE MSUYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. David Cleopa Msuya kilichotokea leo tarehe 07 Mei, 2025 katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa moyo. Taarifa zaidi ya Mipango kamili ya msiba itaendelea kutolewa na...
MZEE DAVID CLEOPA MSUYA AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. David Cleopa Msuya kilichotokea leo tarehe 07 Mei, 2025 katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa moyo. kufuatia kifo hicho, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo bendera zitapepea nusu...
SERIKALI KUENDELEA KUKARABATI VITUO VYOTE KONGWE, VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
http://SERIKALI KUENDELEA KUKARABATI VITUO VYOTE KONGWE, VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYAOR - TAMISEMI Serikali kupitia Ofisi ya Rais – TAMISEMI imesema itaendelea kukarabati hospitali zote Kongwe kupitia mpango mkakati wa ukarabati, na upanuzi wa hospitali kongwe za halmashauri ,vituo vya afya Pamoja na zahanati ili kuboresha miundombinu ya huduma za afya kote nchini. Hayo yamesemwa leo Mei 07, 2025 bungeni Jijini...