“WATUMISHI WA MAENDELEO YA JAMII TUWAJIBIKE” – MHE.MARYPRISCA
Na Jackline Minja WMJJWM-
Dodoma.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka watumishi wa Kituo cha...
SERIKALI YAENDELEA KURASIMISHA UJUZI WA VIJANA – Prof. MKENDA
Na Lilian Ekonga………….
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali inaendelea kuimarisha utaratibu wa kurasimisha ujuzi wa vijana waliopata stadi...
NCHI ZA AFRIKA ZAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA KUIMARISHA MATUMIZI BORA YA NISHATI
WAZIRI wa Nishati, Mhe Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza matumizi...
KESI ILIYOFUNGULIWA NA ACT WAZALENDO YA KUPINGA UCHAGUZI WA UWAKILISHI YATAJWA – ZANZIBAR
Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Uwakilishi, iliyofunguliwa na waliokuwa wagombea wa ACT-Wazalendo, imetajwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu Zanzibar.
Kesi hiyo...
AVODA BLUE TANZANIA GRADUATES FIRST COHORT OF ENTREPRENEURS
Unleashed Africa Social Enterprises Acting Board Chairperson, Ms. Ngianasia Minja (second right), presents a certificate to Ms. Esther Kolimba, a graduand of the four-month...
HADI KUFIKIA MCHANA HUU HALI NI SHAWARI
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini DCP David Misime amesema kuwa mpaka mchana wa leo Disemba 9 hali ya usalama ni shwari katika maeneo...







