Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali zote mbili chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi zimedhamiria kufanya mageuzi makubwa katika Sekta ya Michezo kwa...
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa maji na nishati ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na mafuriko.
Amesema moja ya mkakati uliochukuliwa na Serikali...
.Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akipokea taarifa na kisha kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Musoma, mkoani Mara, leo Jumatano tarehe 23 Aprili 2025.
Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhiwa kitabu cha Mjumuiko wa Vyakula Barani kutoka kwa Katibu wa Utalii wa Umoja wa Mataifa Zurab Pololikashvili wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa wa Pili wa Umoja wa Mataifa wa Utalii wa Vyakula Barani...
• Wakulima Nchini Kunufaika na Utalii wa Vyakula
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Isdory Philip Mpango amefungua rasmi Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii wa Vyakula la Shirika la Utalii Duniani (UN...