MOST POPULAR
KMC YAENDELEA KUJINOA KUIKABILI GEITA GOLD APRIL 17
KIKOSI cha KMC FC kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa Ligi kuu ya NBC soka Tanzania Bara dhidi ya Geita ambapo utacheza Aprili 11...
MADAKTARI BINGWA 30 HUTOA HUDUMA HOSPITAL YA RUFAA AMANA
NA: HERI SHAABAN, herishaban@gmail.comMADAKTARI Bingwa 30 hutoa huduma katika hospitali ya Rufaa Amana Wilayani Ilala.Hayo yalisemwa na Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Rufaa Mkoa...
BEI MAFUTA YA DIZELI YAPANDA ZANZIBAR, ZURA IKITANGAZA VIWANGO MPYA
Na: Halfan Abdulkadir, ZANZIBAR.
Mamlaka ya huduma za maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza bei mpya ya Mafuta huku Dizeli ikipaa kwa asilimia 5.94 kutokea...
LATEST ARTICLES
Na mwandishi wetu
UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha...
Na mwandishi wetu
UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha...
Meli kubwa ya mizigo ya MSC ADU -V yenye urefu wa mita 294.1 na uwezo wa kubeba makontena 4000 ikiwasili katika Bandari ya Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Kitengo cha Uratibu kutoka Kampuni ya DP WORLD, Bw. Emmanuel Kakuyu...
Mwezeshaji na Mtaalam Kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania, aliyeongoza kuandaa miswada mitatu ya uchaguzi na vyama vya siasa, 2023 katika mlengo wa Kijinsia. Dkt. Victoria Lihiru, akitoa mada juu ya uchambuzi na mapendekezo ya miswada hiyo kwa Wahariri wa...
Mwakilishi Mkazi wa UN Women Tanzania Hodan Addou (kushoto) akizungumza alipokuwa akiongoza mkutano wa wanawake kutoka katika nchi mbalimbali Barani Afrika kujadili changamoto zinazowakabili wanawake na vijana katika Biashara na kupokea maoni ya wadau hao namna ya kufanyiakzi changamoto....
http://HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEBRUARI 01,2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ) Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa New Parliament Building, Harare...
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) linatarajia kuanza kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa elimu ya Kodi makanisani ili kuongeza idadi ya walipakodi Kodi kwa hiari na kuleta usawa katika ulipaji wa Kodi.
Hayo yamebainishwa katika kikao...
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akieleza utayari wa Serikali wa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kimkakati ya sekta ya elimu na afya ikiwemo kukamilisha kwa maboma yaliyojengwa na wananchi, bungeni jijini...
Na; Mwandishi Wetu, Bunda
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameagiza vikao vya Chama kuzungumza mambo yanayowahusu wananchi kwa lengo la kusikia changamoto zao na kuwa sehemu ya kupatiwa ufumbuzi.
Amesisitiza kuwa siyo sahihi vikao hivyo...
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa...