MOST POPULAR
DKT. BITEKO AIGOMEA TAARIFA YA MGODI WA GEITA
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ameikataa taarifa ya Mgodi wa Geita Gold Mine Limited (GGML)...
HUAWEI CALLS ON DEVELOPERS TO BUILD NATIVE APPS FOR HARMONYOS
Huawei's rotating chairman, Eric Xu, urged developers to collaborate on the development of native apps for the company's mobile operating system HarmonyOS. "We call...
MAJALIWA: VYOMBO VYA HABARI VIJIEPUSHE NA TAARIFA ZA UCHOCHEZI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie...
LATEST ARTICLES
Na mwandishi wetu
UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha...
Na mwandishi wetu
UKIONA vyaelea ujue vimeundwa! Hii ndiyo methali inayoweza kuelezea hatua ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kununua eneo la Urafiki lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50 kwa lengo la kufanya uwekezaji mkubwa unaolenga kuboresha...
Meli kubwa ya mizigo ya MSC ADU -V yenye urefu wa mita 294.1 na uwezo wa kubeba makontena 4000 ikiwasili katika Bandari ya Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Kitengo cha Uratibu kutoka Kampuni ya DP WORLD, Bw. Emmanuel Kakuyu...
Mwezeshaji na Mtaalam Kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania, aliyeongoza kuandaa miswada mitatu ya uchaguzi na vyama vya siasa, 2023 katika mlengo wa Kijinsia. Dkt. Victoria Lihiru, akitoa mada juu ya uchambuzi na mapendekezo ya miswada hiyo kwa Wahariri wa...
Mwakilishi Mkazi wa UN Women Tanzania Hodan Addou (kushoto) akizungumza alipokuwa akiongoza mkutano wa wanawake kutoka katika nchi mbalimbali Barani Afrika kujadili changamoto zinazowakabili wanawake na vijana katika Biashara na kupokea maoni ya wadau hao namna ya kufanyiakzi changamoto....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya...
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameziagiza Mamlaka za Mikoa na Wilaya kufanya kaguzi za mara kwa mara katika maeneo yaliyohifadhiwa, vyanzo vya maji na mito ili kudhibiti vitendo vya uharibifu wa mazingira.
Ametoa agizo hilo leo (Jumamosi Julai 05, 2025) aliposhiriki...
Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamesisitizwa kuwa na nidhamu wanapotekeleza majukumu yao ya kazi ili kuleta matokeo chanya kwa ustawi taasisi.
Hayo yamesemwa leo tarehe 4 Julai, 2025 jijini Dar es Salaam na Afisa Mtendaji...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameungana na waumini pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa katoliki kushiriki katika Misa Takatifu ya Upadirisho pamoja na Ufunguzi wa Mwaka wa Jubilei ya Miaka 50...
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo Bi. Mwanahiba Mzee, akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Taasisi hiyo, kufahamu fursa zitolewazo na Taasisi hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo Bi. Mwanahiba Mzee, akizungumza katika mahojiano maalum na waandishi wa...
AWASHAURI VIJANA KUJIANDAA NA UZEE
Na WMJJWM – Mwanza
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu ameitaka jamii kushiriki kikamilifu katika kuwatunza wazee wao, kuwaheshima, kuwaangalia na kulinda dhidi ya...