Mkurugenzi Mkuu wa lMamlaka ya Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Bw. Charles Sangweni akizungumza katika kikao kazi Kati ya Ofisi ya Msajili wa Hazina, Jukwaa la Wahariri TEF na PURA kilichofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Regency Jijini Dar...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)Dk.Kedmon Mapana akizungumza wakati wa kutoa kibali kwa Mwanamitindo wa Kimataifa Millen Happiness Magese (kushoto) kuandaa mashindano ya Miss Universe nchini Tanzania .Kulia ni Miss Universe Tanzania Judith Ngussa.
Na Mwandishi Wetu
BARAZA...
BUKOBA:
KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi an Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, CPA Amos Makalla amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa mkombozi kwa kuinua zao la Kahawa mkoani Kagera.
Makalla ameeleza hayo leo Mei 18,2025 akizungumza na wananchi katika...
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali ipo kazini na inaendelea kufanyakazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi katika maeneo yote nchini na bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Kadhalika, Mheshimiwa Majaliwa ametoa wito kwa wananchi waendelea kushirikiana katika kudumisha...
Mwandishi Wetu, Masasi, MTWARA
Kiongozi wa Mwenge Kitaifa, Ussi amelipongeza Shirika la Nyumba laTaifa (NHC), kwa kazi kubwa ya kutekeleza kwa vitendo ndoto za kuboresha huduma za jamii na wafanyabiashara nchini kupitia sekta ya nyumba, kwa kujenga majengo bora ya...
http://HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MEI 18_2025.