* Dkt. Biteko aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Kiwanda cha Nguzo za Zege * Awataka wananchi Tabora kutogawanyika wakati Uchaguzi Mkuu *7 Asema maono ya Rais Samia ni viongozi kuwasaidia wananchi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri...
Ni utekelezaji wa Maagizo ya Mh. Rais Dkt. Samia ▪️Aupongeza mgodi wa Barrick North Mara kwa kutoa Leseni kwa Vijana wa Vijiji 13  ▪️Benki ya Dunia (WB) na Baraza la Dhahabu Duniani (WGC) waonesha dhamira kusaidia mradi *Tarime,Mara* Waziri wa Madini Mhe. Anthony...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Tume ya Rais ya Kutathimini na Kushauri kuhusu masuala ya Kodi ikiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Balozi....
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini. Amesema hayo leo Ijumaa (Mei 02, 2025) alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka 100 na mkutano...
http://HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA MAY 2-2025.
Na Happiness Shayo, Ludewa Wafanyakazi wilayani Ludewa, mkoani Njombe, wamepokea kwa shangwe na furaha nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma, iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika maadhimisho Siku ya Wafanyakazi...