Arusha 16 Mei 2025 - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, amezindua rasmi Shule ya Sekondari ya Mfano ya Benki ya CRDB, itayojengwa katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam kama...
Mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Kibugumo ya Kigamboni, Mohamed Abubakari Muhidin (13), wa kwanza kulia, akimhoji mmojawapo wa dereva aliyekamatwa nje ya barabara karibu na shule hiyo katika ‘Mahakama Kifani ya Watoto’ kwa kukiuka alama...
                                    
Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), umefanikiwa kuwalipa fidia wafanyakazi na wategemezi wao 19,650 waliopata madhira mbalimbali ikiwemo ajali, kuugua au kufariki kutokana na Kazi. Hayo yameelezwana na  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo, Dkt. John Mduma, akizungumzia mafanikio ya WCF...
Matukio mbalimbali katika picha ya yakionesha Mhe. Kassim Majaliwa(Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo alipotembelea Kituo cha Kuhifadhi Data Kimtandao (NIDC) kwa lengo la kuangalia Mfum wa N- CARD unavyofanya kazi. Katika ziara hiyo, Waziri Mkuu...
Arusha 14 Mei 2025 - Benki ya CRDB imewataka wanahisa wake kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 30 wa Wanahisa, unaotarajiwa kufanyika Jumamosi, tarehe 17 Mei 2025, katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), ikiwa...