BARRICK NORTH MARA KIDEDEA MECHI YA SOKA YA KIRAFIKI NA TIMU...
Wachezaji wa timu ya Barrick North Mara na Chuo kikuu cha Mwalimu Nyerere wakipata mawaidha kabla ya kuanza mechi ya soka ya kirafiki iliyofanyika...
SIMBA IMEREJEA KILELENI, KWA KUIZABA TANZANIA PRISONS BAO 3-0
Simba imerejea kwenye kilele cha Ligi ya NBC kwa kufikisha alama 47 baada ya kuwazaba Wajelajela, Tanzania Prisons kwa jumla ya mabao 3-0.
Mabao ya...
WATUMISHI WA MADINI WAHIMIZWA KUFANYA KAZI KWA BIDII.
Na Mwandishi Wetu
WATUMISHI wa Wizara ya Madini na Taasisi zake wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na uzalendo ili kulinda uchumi wa nchi usiweze kuathirika...
TIMU YA MATI SUPER BRANDS LTD YACHEZA MECHI YA KIRAFIKI NA...
Na Ferdinand Shayo, Manyara.
Timu ya mpira wa miguu ya Wafanyakazi wa kiwanda cha kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited mkoani Manyara imecheza...
SIMBA SC YAMALIZA MWENDO KIBABE HATUA YA MAKUNDI SHIRIKISHO
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefuzu hatua ya robo fainali kwa kishindo baada ya kuichapa timu ya CS Constantine mabao 2-0 katika...
MBUNGI MECHI YA SIMBA Vs CS COSTANTINE KUTAZAMWA MWEMBEYANGA TMK
DAR ES SALAAM
Klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba SC imetangaza viwanja vya mwembe yanga uliopo Temeke Jijini Dar es Salaam kama sehemu maalum itakayotumika...