WAJUMBE WA BODI YA NISHATI WAKAGUA MRADI WA NISHATI SAFI GEREZA...
Wapongeza mifumo ya nishati safi ya kupikia
*REA yapongezwa kwa kuhamashisha matumizi ya nishati safi
Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wamefanya ziara ya kutembelea...
MAJALIWA: WANA-RUANGWA HATUNA DENI NA DKT. SAMIA
▪️Asema ni kutokana na maendeleo yaliyopatikana kipindi cha uongozi wake.
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Chama cha Mapinduzi, Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo...
MHE-JAJI JACOB MWAMBEGELE AKAGUA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU...
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele leo Mei 03, 2025 ametembelea na kukagua vituo vya uboreshaji...
KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA KUZALISHA AJIRA, KUKUZA UCHUMI WA...
* Dkt. Biteko aweka Jiwe la Msingi Ujenzi Kiwanda cha Nguzo za Zege
* Awataka wananchi Tabora kutogawanyika wakati Uchaguzi Mkuu
*7 Asema maono ya Rais...
MHE.MPANGO AFANYA MAZUNGUMZO TUME YA RAIS KUTATHIMINI NA KUSHAURI KUHUSU...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Tume ya Rais ya Kutathimini na Kushauri...
SERIKALI INATHAMINI KAZI INAYOFANYWA NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini.
Amesema hayo leo Ijumaa...