KATAMBI AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NCHINI TANZANIA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Burundi nchini Tanzania,Mhe. Balozi Leontine Nzeyimana, ambapo wamezungumza...
Dkt. MIGIRO AKAGUA UJENZI JENGO LA OFISI ZA CCM MAKAO MAKUU...
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt.Asha-Rose Migiro akiwa ameambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu John Mongella,leo Januari 17,2026 amekagua maendeleo...
WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO KAZI KUHUSU MASUALA YA WAFANYAKAZI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao kazi kuhusu masuala ya wafanyakazi, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Januari 17, 2026.
Kikao hicho kilimshirikisha...
TAWA YASAINI MIKATABA MITANO YA UWEKEZAJI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA...
SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) leo tarehe 16 Januari, 2026 imesaini mikataba mitano (5) ya uwekezaji katika sekta ya uhifadhi...
MEJA JENERALI GAGUTI AFUNGA RASMI ZOEZI LA MEDANI MSATA
Mkuu wa Utumishi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Meja Jenerali Marco Gaguti amefunga rasmi zoezi la Medani la EX- MALIZA lililofanywa...
MBUNGE MAVUNDE AANZISHA UJENZI WA SHULE KWA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI WA...
Mbunge wa Jimbo la Mtumba Mh. Anthony Mavunde kwa kushirikiana na wananchi wa eneo la ya Ngayagaye kata ya Ipala wameanzisha ujenzi wa madarasa...










