MHE- ZAINABU ATEMBELEA BANDA LA TAMISEMI KONGAMANO LA KIMATAIFA NA MAONESHO...
Naibu Waziri anayeshughuhulikia Elimu Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhe.Zainab Katimba atembelea banda la TAMISEMI kwenye Kongamano la Kimataifa na Maonesho ya Elimu Mtandao...
NHIF SASA KUGHARAMIA MATIBABU YA AFYA YA AKILI, KUFUATA MWONGOZO
Na WAF, DODOMA
Serikali imesema huduma za afya ya akili zimeshajumuishwa kwenye vifurushi vya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), na hivyo wananchi...
RHMT NA CHMT SIKILIZENI KERO NA MAONI KUTOKA KWA WANANCHI –...
OR-TAMISEMI
Mkurugenzi wa Idara ya Afya Lishe na Ustawi wa Jamii Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amezielekeza timu za usimamizi wa afya...
MHE- CHATANDA AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI RUFIJI.
Na Mwandishi Wetu..
Mwenyekiti wa UWT- CCM Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya bilioni 25 inayotekelezwa...
RAIS WA JAMHURI YA MSUMBIJI MHE CHAPO KUANZA ZIARA YA SIKU...
http://RAIS WA JAMHURI YA MSUMBIJI MHE CHAPO KUANZA ZIARA YA SIKU TATU TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo anatarajia kuanza...
TANZANIA MWENYEJI KONGAMANO LA 18 LA E-LEARNING AFRIKA
Na Lilian Ekonga - DAR ES SALAAM
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Kongamano la 18 la kimataifa la e-Learning Afrika ambalo hufanyika kila mwaka kwa...