NCHIMBI AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI NNE
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal, ambaye alifika...
RC CHALAMILA AFANYA ZIARA TEMEKE
*Akagua miradi ya mbalimbali ya maendeleo na kuongea na wananchi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea na...
DAWA ZA KIFAFA KUPATIKANA KATIKA VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA AFYA.
Serikali imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kutoa huduma na dawa kwa wagonjwa wa kifafa katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya nchini, ili...
SHILINGI BILIONI 3 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA...
Serikali imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya kuanza awamu ya pili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini...
DKT. NTULI ASHINDA KWA KISHINDO UKURUGENZI MKUU WA ECSA – HC
Na WAF – MALAWI.
Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya kutoka Tanzania Dkt. Ntuli Kapologwe, ameibuka mshindi wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya...
NIRC YASHUSHA NEEMA PWANI
KUJENGA VISIMA VYA UMWAGILIAJI VITANO
NIRC Pwani
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini mkataba wa mradi wa uchimbaji visima vitano vya umwagiliaji katika Mkoa wa...