WAZIRI KABUDI AITAMBULISHA RASMI BODI YA ITHIBATI BUNGENI
Kuanza Mwaka wa fedha 2025/26 kwa mafunzo.
Na Mwandishi Wetu, JAB
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya...
RAIS SAMIA ATANGAZA SIKU 7 ZA MAOMBOLEZO KIFO CHA MZEE MSUYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu...
MZEE DAVID CLEOPA MSUYA AFARIKI DUNIA
Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. David Cleopa Msuya kilichotokea leo tarehe 07 Mei, 2025 katika Hospitali ya Mzena...
SERIKALI KUENDELEA KUKARABATI VITUO VYOTE KONGWE, VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA
http://SERIKALI KUENDELEA KUKARABATI VITUO VYOTE KONGWE, VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYAOR - TAMISEMI
Serikali kupitia Ofisi ya Rais – TAMISEMI imesema itaendelea kukarabati hospitali zote...
HOSPITALI ZA BENJAMIN MKAPA, MLOGANZILA KUENDELEA KUTUMIKA KAMA VITUO VYA MAFUNZO...
Na, WAF-Dodoma
Serikali imesema Hospitali ya Benjamin Mkapa na Hospitali ya Mloganzila zitaendelea kuwa chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya kwa madhumuni ya kuimarisha...
KERO YA MAJI KIJIJI CHA MLOKA, MBUNJU MVULENI NA NDUNDUTAWA YAPATIWA...
Na. Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mbunge wa Rufiji Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameshuhudia hafla ya utiaji saini mikataba ya...