MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEZA MIKAKATI YA KUWAUNGANISHA WAFANYABIASHARA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa Mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Japan ili kuwawezesha...
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu...
MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA DOMINIKA YA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameshiriki Misa Takatifu ya Dominika...
WAZIRI MKUU ANADI VIVUTIO VYA UTALII, UWEKEZAJI
▪️Ni katika siku ya Tanzania kwenye maonesho ya Osaka World EXPO 2025_
▪️Asema mauazo ya bidhaa za Tanzania Japan yafikia sh bilioni 37_
▪️Asisitiza Tanzania ni...
KATIBU MKUU WA CCM DKT. NCHIMBI AKIKAGUA UKUMBI WA MIKUTANO JAKAYA...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na Wajumbe wa Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa...
RAIS DKT.SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA GLOBAL FUND
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza kwa njia ya mtandao na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Kimataifa...