KINANA APANGUA HOJA ZA CHADEMA KUHUSU KUTAKA KUWAGAWA WANANCHI
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Abdulrahman Kinana akizungumza na wanachama wa CCM na Wananchi wa Mkoa wa Dodoma katika Ukumbi wa...
WAKUNGA ZINGATIENI WELEDI KWENYE UTOAJI WA HUDUMA – MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Wakunga na wataalamu wengine wa afya nchini kufanya kazi kwa weledi na kuongeza bidii katika kutoa huduma...
DRAFCO NI MKOMBOZI WA WANAWAKE, YAMWAGA MSAADA WA TAULO ZA KIKE...
Balozi wa bidhaa za taulo za (Baby Cheeky Diaper) mwigizaji Elizabeth Michael maarufu "Lulu" akionesha namna taulo za watoto za (Baby Cheeky Diaper) zinavyofanya...
TUMIENI MISINGI YA TAALUMA YA UANDISHI, UHURU UNA MIPAKA; Dkt. Tulia
Na: Georgina Misama – Maelezo
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Mabunge ya Dunia Mhe. Dkt. Tulia...
VITA YA URAIS KATI YA LISSU NA MBOWE YAIPASUA CHADEMA
*Vita ya urais kati ya Lissu na Mbowe yaipasua CHADEMA
* Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025
* Lissu akianika chama chake hadharani,...
DKT. BITEKO APONGEZA MCHANGO WA KANISA KWENYE MAENDELEO YA TAIFA
*Awahimiza Wachungaji kuwa na Maono Makubwa
*Awataka kuhubiri amani na upendo
* Awahimiza kumtia moyo Rais Samia kutekeleza miradi ya maendeleo
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa...