RAIS SAMIA AWAPAISHA WANAWAKE KATIKA SEKTA YA MADINI
* Dkt. Biteko asema uwezo wa wanawake sekta ya madini hautiliwi shaka
* Ushiriki wa wanawake katika madini kukuza mnyororo wa thamani
*Sh. Bilioni 10 kuwezesha...
MNDOLWA: SERIKALI YAWEKEZA TRILIONI 1.2 KATIKA SEKTA YA UMWAGILIAJI
NIRC Dodoma
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi trilioni 1.2 kwa ajili ya utekelezaji wa...
TANZANIA YAAHIDI WABIA WA MAENDELEO KUENZI USHIRIKANO NA MAKUBALIANO YALIYOPO KATI...
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
WAZIRI wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba amesema kuwa upande wa Serikali kwa Mawaziri na Makatibu Wakuu walioshiriki Mkutano wa...
DKT. MWAMBA ATETA NA BALOZI WA JAPAN
Na. Josephine Majura WF, Dodoma
Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe....
RAIS SAMIA AELEZA NDOTO YAKE KUUREJESHA MKOA WA TANGA KUWA WA...
TANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameeleza ndoto yake ya kuurejesha Mkoa wa Tanga hadhi yake ya...
RAIS DKT SAMIA-TUTAIFANYA BANDARI YA TANGA KUWA YA MAALUMU KWA MBOLEA...
Na Oscar Assenga, TANGA
RAIS Dkt Samia Suluhu amesema kwamba mipango ya Serikali baadae ni kuifanya Bandari ya Tanga kuwa maalumu kwa ajili ya Mbolea...