NEEMA ADRIAN
VIONGOZI MBALIMBALI WAENDELEA KUMIMINIKA KARIAKOO KUSAIDIA SHUGHULI ZA UOKOZI
Updates kutoka Kariakoo
Viongozi mbalimbali waendelea kumiminika Kariakoo.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Zungu leo Novemba 17, 2024 ameungana...
WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUTATUA CHANGAMOTO YA LISHE UDUMAVU
Na WAF, NJOMBE
Wahudumu wa afya ngazi ya jamii katika halmashauri za mkoa wa Njombe watatatua changamoto za kiafya zinazojitokeza ndani ya jamii ikiwa ni...
WAZIRI CHANA AWATAKA WATANZANIA KUWAENZI MASHUJAA
Na Happiness Shayo-Dar es Salaam
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amewataka Watanzania kuwaenzi mashujaa kwa kuendeleza utu, amani na...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KONGAMANO LA JUMUIYA YA WAISLAMU...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Novemba 10, 2024 amemuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano Mkuu na Kongamano la Umuhimu wa Amani kuelekea...
PEOPLE DEVELOPMENT FORUM, JENGA HUB WAZINDUA MRADI WA ‘MITANDAO SALAMA KWA...
Na, Mwandishi wetu - Dar es Salaam.
Peoples Development Forum (PDF), kwa kushirikiana na Jenga Hub, imezindua Mradi wa Mitandao Salama kwa Watoto ambao utatekelezwa...
SERIKALI KUIWEZESHA CBE KUWA KITUO MAHIRI AFRIKA MASHARIKI NA KATI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeahidi kuendelea kukiwezesha Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), ili kiwe chuo bora kituo cha umahiri kwa nchi za Afrika Mashariki...