Home SPORTS WAZIRI MKUU MAJALIWA AKABIDHI TUZO KWA WANA MICHEZO BORA 2024 JIJINI DAR

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKABIDHI TUZO KWA WANA MICHEZO BORA 2024 JIJINI DAR

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kike Bondia Grace Mwakamele wakati wa Hafla ya Utoaji wa Tuzo za Pili (2) za Baraza la Michezo la Taifa kwa Wanamichezo Bora wa Mwaka 2024, kwenye ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam Juni 09, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Kiume Bondia Yusuf Lucas Changarawe wakati wa Hafla ya Utoaji wa Tuzo za Pili (2) za Baraza la Michezo la Taifa kwa Wanamichezo Bora wa Mwaka 2024, kwenye ukumbi wa The Super Dome Masaki Jijini Dar es Salaam Juni 09, 2024

Previous articleUBALOZI WA TANZANIA NIGERIA WAENDEESHA JUKWAA KUVITIA UWEKEZAJI NCHINIĀ 
Next articleSOMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNI 10-2024
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here