Home LOCAL MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA

MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama, Bungeni jijini Dodoma, Juni 9, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Urambo Margareth SittaBungeni jijini Dodoma, Juni 9, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)