Home ENTERTAINMENTS SHAWBIT AMEKUJA NA EP YENYE MAUMIVU, UPENDO NA FURAHA

SHAWBIT AMEKUJA NA EP YENYE MAUMIVU, UPENDO NA FURAHA

Mtayarishaji wa muziki mwimbaji na na mwandishi wa nyimbo za Afro beat ama Afro pop Adegboye Segun maarufu kwa jina la Shawbit ameachia EP yake ya kwanza kabisa katika muziki.

Shawbit ameachia EP yake mpya ya kwanza ambayo imepewa jina la King Shaw ambayo ina nyimbo tano ndani yake na katika nyimbo hizo wimbo ambao unabeba album unaitwa Lamba Limbo, Hello, My Yard, Oje, To my fans.
 
Katika EP hii Shawbit amelenga zaidi maisha ,maumivu, upendo pamoja na furaha katika mambo mbalimbali huku ikiwa imesimamiwa kwa uzuri na Dexter pamoja na Lawd katika upande wa ubunifu na utayarishaji.
 
Unaweza kumpata msanii huyu katika mitandao yake ya kijamii kama @officialshawbit

Previous articleBRELA YAPATA TUZO YA TPSF
Next articleMAHAFALI YA 39 CHUO CHA VETA SHINYANGA YAFANA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here