Home LOCAL RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA KUFUNGUA MKUTANO WA MABALOZI WA TANZANIA...

RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA KUFUNGUA MKUTANO WA MABALOZI WA TANZANIA UNAOFANYIKA ZANZIBAR TAREHE 19-2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Nje kabla ya kufungua Mkutano huo wa Mabalozi uliofanyika Zanzibar tarehe 19 Novemba, 2022

Viongozi pamoja na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha Tanzania katika nchi za Nje wakiwa kwenye Mkutano na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Zanzibar tarehe 19 Novemba, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Nje mara baada ya kufungua Mkutano huo wa Mabalozi uliofanyika Zanzibar tarehe 19 Novemba, 2022.

Previous articleJUNGU: BADO KUNA CHANGAMOTO YA KURATIBU MATUKIO YA VIONGOZI WA KITAIFA
Next articleBOCCO APIGA HAT-TRICK SIMBA IKIICHAPA RUVU SHOOTING 4-0
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here