Home LOCAL CHONGOLO AKIWA KWENYE ZIARA YAKE KISHAPU MKOANI SHINYANGA

CHONGOLO AKIWA KWENYE ZIARA YAKE KISHAPU MKOANI SHINYANGA

Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga akihutubia wakazi wa shina namba 6 Negezi kwa Balozi Tungu Kashinje Migonzo, Kishapu mkoani Shinyanga. (Picha John Bukuku na Adam H. Mzee wa CCM Makao Makuu)
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakazi wa shina namba 6 Negezi kwa Balozi Tungu Kashinje Migonzo, Kishapu mkoani Shinyanga ikiwa siku ya nne ya ziara yake ya kukagua uhai wa Chama Cha Mapinduzi na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020 – 2025. (Picha John Bukuku na Adam H. Mzee wa CCM Makao Makuu)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiangalia ngoma ya bugobogobo ya asili ya wasukuma kabla ya kuhutubia wakazi wa shina namba 6 Negezi kwa Balozi Tungu Kashinje Migonzo, Kishapu mkoani Shinyanga ikiwa siku ya nne ya ziara yake ya kukagua uhai wa Chama Cha Mapinduzi na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020 – 2025.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akisalimiana na Elias Bush mwanachama aliyejiunga na Chama Cha Mapinduzi akitokea CHADEMA nje ya ofisi za CCM Kishapu.

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu. 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu, kushoto ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Mohamed Mkumbwa.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiangalia maendeleo ya ujenzi majengo mbalimbali katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu, kushoto ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Mohamed Mkumbwa.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akisikiliza kwa makini taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu,kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Mohamed Mkumbwa.

   

Previous articleMAJALIWA AFUNGUA SEMINA YA WABUNGE KUHUSU SENSA YA WATU NA MAKAZI
Next articleRAIS SAMIA SULUHU AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KIKOSI KAZI CHA KURATIBU MAONI YA WADAU WA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here