


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akisalimiana na Elias Bush mwanachama aliyejiunga na Chama Cha Mapinduzi akitokea CHADEMA nje ya ofisi za CCM Kishapu.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu, kushoto ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Mohamed Mkumbwa.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiangalia maendeleo ya ujenzi majengo mbalimbali katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu, kushoto ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Mohamed Mkumbwa.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akisikiliza kwa makini taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kishapu,kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Mohamed Mkumbwa.