Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu namna ya kudhibiti Wadudu dhurifu waenezao Magonjwa mbalimbali, alipotembelea moja ya Kiwanda cha SC Johnson Family kiliopo katika mji wa Chicago Nchini Marekani leo tarehe 19 Aprili 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiangalia baadhi ya Wadudu wa aina mbalimbali waliodhibitiwa, alipotembelea moja ya Kiwanda cha SC Johnson Family kinachotengeneza Viuatilifu kwa ajili ya kudhibiti Wadudu dhurifu waenezao Magonjwa mbalimbali kiliopo katika mji wa Chicago Nchini Marekani leo tarehe 19 Aprili 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akitembelea Kiwanda cha SC Johnson Family kinachotengeneza Viuatilifu kwa ajili ya kudhibiti Wadudu dhurifu waenezao Magonjwa mbalimbali kiliopo katika mji wa Chicago Nchini Marekani leo tarehe 19 Aprili 2022.


.