
Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, akimkaribisha Balozi Mdogo wa Oman aliepo Zanzibar Said Salim Al-sinawiy, alipofika Ofisi ya Mufti Mazizini Mjini Unguja kujitambulisha.
. 

Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akimkaguza baadhi ya vitengo vilivyomo ndani ya Ofisi ya Mufti wakati alipofika kujitambulisha.


Balozi mdogo wa Oman aliepo Zanzibar Said Salim Al-sinawiy, akitoa neno kwa Mufti wa Zanzibar alipofika Ofisini kwake kwaajili ya kujitambulisha.


PICHA NA FAUZIA MUSSA –MAELEZO ZANZIBAR.