Home LOCAL BALOZI MDOGO WA OMAN SAID SALIM AL-SINAWIY AJITAMBULISHA OFISI YA MUFTI ZANZIBAR

BALOZI MDOGO WA OMAN SAID SALIM AL-SINAWIY AJITAMBULISHA OFISI YA MUFTI ZANZIBAR

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!
Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, akimkaribisha Balozi Mdogo wa Oman aliepo Zanzibar Said Salim Al-sinawiy, alipofika Ofisi ya Mufti Mazizini Mjini Unguja kujitambulisha.
 . 
Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akimkaguza baadhi ya vitengo vilivyomo ndani ya Ofisi ya Mufti wakati alipofika kujitambulisha.
   
Balozi mdogo wa Oman aliepo Zanzibar Said Salim Al-sinawiy, akitoa neno kwa Mufti wa Zanzibar alipofika Ofisini kwake kwaajili ya kujitambulisha.
 
Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, akizungumza na Balozi Mdogo wa Oman aliepo Zanzibar Said Salim Al-sinawiy alipofika Ofisini kwake Mazizini Mjini Unguja kujitambulisha.
 
Balozi mdogo wa Oman aliepo Zanzibar Said Salim Al-sinawiy akiagana na watendaji wa Ofisi ya Mufti mara baada ya kufika Ofisini hapo na Kujitambulisha
PICHA NA FAUZIA MUSSA –MAELEZO ZANZIBAR.