SERIKALI YATANGAZA MABADILIKO JESHI LA MAGEREZA

0
Na: Mwandishi Wetu,DodomaWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amesema kuna haja ya kubadili Mfumo wa Magereza nchini ili kuendana na kasi ya...

DKT. MWIGULU: TUTAMUENZI KWA VITENDO MAREHEMU JENISTA

0
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na aliyekuwa mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, Marehemu Jenista Mhagama ikiwemo kuimarisha...

MAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA UDSM – KAGERA

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam kuhakikisha...

DKT. KIJAJI: USHINDI WA TUZO ZA UTALII DUNIANI NI MATUNDA YA FILAMU YA “TANZANIA:...

0
Na Philipo Hassan – Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameeleza kuwa Tanzania kuibuka mshindi wa Tuzo mbalimbali za...

NAIBU WAZIRI KIHENZILE AIPONGEZA TARURA KUBORESHA BARABARA ZA WILAYA.

0
Arusha Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kuleta mchango mkubwa kwenye sekta ya uchukuzi...

AMIRI JESHI MKUU RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA 9 WA MKUU WA MAJEHI TANGA

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa...