MAYBELLINE YAJA TANZANIA KULETA MAPINDUZI SEKTA YA VIPODOZI

0
Katika Kuadhimisha siku ya Mwanamke Duniani, Maybelline New York bidhaa inayoongoza duniani katika vipodozi imefanya uzinduzi rasmi nchini Tanzania ikimarisha dhamira ya kuwawezesha...

MOIL YAJIPANGA KUCHANGIA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI TANZANIA

0
Kampuni ya MOIL imeonesha dhamira yake ya kuunga mkono mkakati wa Taifa wa nishati safi kwa vitendo, ikitazama fursa za kuwekeza katika uzalishaji wa...

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA FORODHA AFRIKA MASHARIKI NA KATI – FIATA...

0
Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Shirikisho la vyama vya mawakala wa ushuru wa forodha kwa upande wa Afrika Mashariki na...

RAIS SAMIA AWAANDALIA IFTAR WAZEE WA ARUSHA

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na viongozi kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini, wazee wa Mkoa...

DKT.MWINYI AZIHAMASISHA NCHI ZA EAC KUANZISHA MIFUKO YA MAENDELEO YA PETROLI

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi amezihamasisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa na Mifuko ya...

Dkt. SAMIA: SERIKALI INA DHAMIRA YA KUJENGA TANZANIA JUMUISHI YENYE USTAWI...

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono waandamanaji kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani...