WAZIRI MKUU DKT. NCHEMBA AAGIZA SOKO LA MAJENGO LIKAMILIKE KWA WAKATI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza kukamilika haraka kwa ukarabati wa soko la Majengo Jijini Dodoma ili kuwawezesha wafanyabiashara wa jiji hilo kunufaika na...
DKT. MWIGULU: FANYENI MAPITIO YA TAMKO LA MALI NA MADENI
_Ataka maeneo yaliyokithiri kwa rushwa yapewe kipaumbele_
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ni lazima yafanyike mapitio ya haraka kwenye tamko la mali na madeni...
SHEIN, KARUME WASISITIZA ELIMU YA MUUNGANO KWA VIJANA
Mwandishi Wetu
Zanzibar
Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi awamu ya sita Dk. Amani Abeid Karume pamoja na Rais Mstaafu wa Zanzibar...
JENISTA MHAGAMA AFARIKI DUNIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb), ametangaza kifo cha Mbunge wa Peramiho, Mhe.Jenista Joakim Mhagama,...
WCF YAPONGEZWA KWA UTOAJI HUDUMA BORA KWA WANANCHI
Na; OWM (KAM) - DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ameupongeza Mfuko wa Fidia kwa...
“WATUMISHI WA MAENDELEO YA JAMII TUWAJIBIKE” – MHE.MARYPRISCA
Na Jackline Minja WMJJWM-
Dodoma.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka watumishi wa Kituo cha...







