Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei, 2025.
Na: Mwandishi wetu, Dar es Salaam.
Tanzania imepiga hatua isiyosahaulika katika historia ya maendeleo yake baada ya kupata ziara ya kikosi cha wawekezaji wa ngazi ya juu kutoka Ufalme wa Oman, walioleta fursa kubwa za mabadiliko makubwa katika sekta ya...
Asema lengo ni kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi imara_
Azindua mpango wa kuendeleza sekta ya ufugaji nyuki kwa Tanzania iliyo bora_
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye kituo cha uandikishaji wapiga kura kilichopo katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kilimani, Mtaa wa Kilimani, jijini Dodoma, kwa ajili ya kuboresha taarifa zake...
Amshukuru Rais Dkt. Samia ununuzi wa mitambo ya uteketezaji wa magugumaji
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha changamoto ya uwepo wa magugumaji katika ziwa Victoria inapatiwa ufumbuzi ili kuwezesha shughuli za kijamii ziweze kuendelea katika...
Asema Serikali haitomvumia mtumishi atakayethibitika kuhusika na wizi_
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Sengerema wanaodaiwa kuhusika na wizi wa vifaa hospitalini hapo ili watakaothibitika wachukuliwe...