Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi barua kutoka kwa Rais Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
- Utafiti na nyumba nafuu zatajwa suluhisho la baadaye
- Kamati ya Bunge yataka utafiti kwa vifaa, teknolojia za kisasa kupunguza gharama za ujenzi
- Enzi za Mwalimu Nyerere hadi Dira ya 2050, NHC yathibitisha uwezo wa taasisi za umma kujitegemea...
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt.Asha-Rose Migiro akiwa ameambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu John Mongella,leo Januari 17,2026 amekagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Makao Makuu ya Chama hicho katika eneo la...
Wakandarasi wazawa wapewa kipaumbele
Wakandarasi watakiwa kufanya kazi kwa weledi, ubora na kasi
Watakiwa kuepukana na vitendo vya rushwa
Wahimizwa kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za Nchi
Dodoma
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba 30 yenye thamani ya shilingi Trilioni 1.2...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao kazi kuhusu masuala ya wafanyakazi, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma, Januari 17, 2026.
Kikao hicho kilimshirikisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, William Lukuvi...
Na Mwandishi wa OMH
Kibaha, Pwani. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), imeendesha mafunzo ya siku nne kwa watumishi wapya 20 walioajiriwa katika ofisi hiyo, kwa lengo la kuwajengea uwezo...







