: Suleiman Mathew Ikomba, Makamu wa rais wa CWT ambaye anagombea U rais wa chama hicho kwa sasa Joseph Masolwa Misalaba, Kaimu katibu mkuu na Mgombea wa ukatibu mkuu Nashon Amos Kidudu, Kaimu mweka hazina na mgombea wa nafasi hiyo tena ............  Na....
Na Mwandishi Wetu, Dar  Wasanii wa muziki nchini wametakiwa kusajili kazi zao na kuzilinda kupitia mifumo rasmi ya miliki bunifu ili kunufaika kiuchumi na kulinda kazi zao dhidi ya wizi wa ubunifu. Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam na Afisa...
Na Philomena Mbirika, Dodoma Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imetumia fursa ya maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani yanayofanyika jijini Dodoma kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii vinavyopatikana katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro. Maadhimisho hayo yaliyoanza Mei 17 na kuhitimishwa...
Yapongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme Kamati mpya ya Ukaguzi ya Wizara ya Nishati imefanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani ili kujionea utekelezaji wa miradi hiyo hali itakayopelekea Kamati husika kumshauri vyema Katibu Mkuu Wizara ya Nishati juu...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei, 2025.     
Na: Mwandishi wetu, Dar es Salaam.  Tanzania imepiga hatua isiyosahaulika katika historia ya maendeleo yake baada ya kupata ziara ya kikosi cha wawekezaji wa ngazi ya juu kutoka Ufalme wa Oman, walioleta fursa kubwa za mabadiliko makubwa katika sekta ya...