Ampongeza Dr samia kwa kuwezesha utekelezaji wa miradi mikubwa
USAGARA:
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), *CPA Amos Makalla* amesema kukamilika kwa daraja la Kigongo -Busisi, mradi wa SGR na meli itachochea biashara...
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekagua na kuridhishwa na utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje ya jiji la Dodoma (km 112.3) ambapo kwa sasa umefikia zaidi ya asilimia 85 ya utekelezaji wake.
Ulega ameeleza hayo leo Mei...
-Jengo la Sh2.7 bilioni lazinduliwa
-Kukamilika Septemba
-Wapangaji wameshajaa
Mwandishi Wetu
Mei 18,2025 ni siku ambayo NHC imeandika historia mpya kwa mji wa Masasi, wilayani Masasi mkoani Mtwara.
NHC imeandika historia hiyo kwa kuzinduliwa ujenzi wa jengo jipya, ambalo ni Kituo cha Biashara, Masasi...
: Suleiman Mathew Ikomba, Makamu wa rais wa CWT ambaye anagombea U rais wa chama hicho kwa sasa Joseph Masolwa Misalaba, Kaimu katibu mkuu na Mgombea wa ukatibu mkuu
Nashon Amos Kidudu, Kaimu mweka hazina na mgombea wa nafasi hiyo tena
............
Na....
Na Mwandishi Wetu, Dar
Wasanii wa muziki nchini wametakiwa kusajili kazi zao na kuzilinda kupitia mifumo rasmi ya miliki bunifu ili kunufaika kiuchumi na kulinda kazi zao dhidi ya wizi wa ubunifu.
Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam na Afisa...
Na Philomena Mbirika, Dodoma
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imetumia fursa ya maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani yanayofanyika jijini Dodoma kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii vinavyopatikana katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.
Maadhimisho hayo yaliyoanza Mei 17 na kuhitimishwa...