NHC YAUPIGA MWINGI BONANZA LA MICHEZO NANE-NANE
Na: Mwandishi wetu, DSM
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limeungana na Taasisi mbalimbali nchini kushiriki bonanza la michezo wa mpira wa miguu (Nanenane Stuff...
TAIFA STARS YAKUSANYA ALAMA 3 NYINGINE CHAN
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mauritania katika mchezo wa michuano ya CHAN 2024 uliochezwa...
DKT.MPANGO ATOA WITO WANAMICHEZO KUSHIRIKI MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wanamichezo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola kama...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UFUNGUZI MICHUANO YA CHAN 2024
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Agosti 02, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN 2024,...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UFUNGUZI MICHUANO YA CHAN 2024
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Agosti 02, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN...
PROF. KABUDI AIPA KONGOLE NIC KUUNGA MKONO SEKTA YA MICHEZO
DAR ES SALAAM
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema kuwa miongoni mwa mashirika yanayostahili kupewa miradi mbalimbali ya kitaifa ni...










