TIMU YA MATI SUPER BRANDS LTD YACHEZA MECHI YA KIRAFIKI NA...
Na Ferdinand Shayo, Manyara.
Timu ya mpira wa miguu ya Wafanyakazi wa kiwanda cha kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited mkoani Manyara imecheza...
SIMBA SC YAMALIZA MWENDO KIBABE HATUA YA MAKUNDI SHIRIKISHO
Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefuzu hatua ya robo fainali kwa kishindo baada ya kuichapa timu ya CS Constantine mabao 2-0 katika...
MBUNGI MECHI YA SIMBA Vs CS COSTANTINE KUTAZAMWA MWEMBEYANGA TMK
DAR ES SALAAM
Klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba SC imetangaza viwanja vya mwembe yanga uliopo Temeke Jijini Dar es Salaam kama sehemu maalum itakayotumika...
SIMBA SC YAMALIZA MWENDO, YATINGA ROBO FAINALI SHIRIKISHO
Timu ya Simba SC ya Jijini Dar es Salaam Tanzania, imetinga fanikiwa hatua ya robo fainali michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika baada...
MHANDISI JUMBE APELEKA MASHABIKI WA STAND UNITED GEITA, ZAWADI NONO WAKISHINDA
Mratibu wa safari ya mashabiki wa Stand United FC kutoka Shinyanga kwenda Geita ,Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari
Na Kadama Malunde - Malunde...
SIMBA YAFIKISHA ALAMA 40,SIMBA SC 1- SINGIDA BS 0.
http://SIMBA YAFIKISHA ALAMA 40,SIMBA SC 1- SINGIDA BS 0.
Goli la Fabrice Ngoma limewahakikishia Simba SC waendelee kujikita kileleni baada ya kuvuna alama tatu dhidi...