SIMBA SC YAMALIZA MWENDO, YATINGA ROBO FAINALI SHIRIKISHO
Timu ya Simba SC ya Jijini Dar es Salaam Tanzania, imetinga fanikiwa hatua ya robo fainali michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika baada...
MHANDISI JUMBE APELEKA MASHABIKI WA STAND UNITED GEITA, ZAWADI NONO WAKISHINDA
Mratibu wa safari ya mashabiki wa Stand United FC kutoka Shinyanga kwenda Geita ,Jackline Isaro akizungumza na waandishi wa habari
Na Kadama Malunde - Malunde...
SIMBA YAFIKISHA ALAMA 40,SIMBA SC 1- SINGIDA BS 0.
http://SIMBA YAFIKISHA ALAMA 40,SIMBA SC 1- SINGIDA BS 0.
Goli la Fabrice Ngoma limewahakikishia Simba SC waendelee kujikita kileleni baada ya kuvuna alama tatu dhidi...
DR. SAMIA JUMBE HOLIDAY BONANZA KUTIKISA SHINYANGA DESEMBA 31, ZAWADI NONO...
Mratibu wa mashindano ya DR. SAMIA / JUMBE HOLIDAY BONANZA, Jackline Isaro akielezea kuhusu mashindano hayo.
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Katika kusherehekea mapumziko...
HAKIKISHENI MABONDIA WANANUFAIKA NA VIPAJI VYAO-MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea kutoka kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi tuzo ya kutambua mchango wa Rais Dkt. Samia...
YANGA YAICHAPA TANZANIA PRISONS KWA BAO 4 – 0.
YANGA leo imeendelea wimbi la ushindi baada ya kuifumua Tanzania Prisons kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku Prince Dube akitupia...