SERIKALI YATUMIA SHILINGI BILIONI 187 KWA MATIBABU YA WAZEE
DODOMA
Serikali imetenga jumla ya Shilingi Bilioni 661 kwa ajili ya msamaha wa matibabu kwa makundi maalum, ambapo Shilingi Bilioni 187 zinatumika kugharamia matibabu...
SERIKALI YAJIPANGA HUDUMA ZA MATIBABU BURE KWA WAZEE NA WATOTO
Na WAF, DODOMA
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema, Serikali imechukua hatua madhubuti za kuhakikisha wazee na watoto wanapata huduma za matibabu bila...
KATIBU MKUU CCM AKUTANA NA MZEE BUTIKU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya...
NIRC YASAINI MIKATABA YA UNUNUZI MITAMBO YA KUCHIMBA VISIMA VIREFU NCHI...
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Raymond Mndolwa (kushoto) akiwa na viongozi wa Kampuni ya Acarkardesler, ya utengenezaji mitambo ya uchimbaji...
ASASI ZA KIRAIA ZASISITZA VITA VYA CONGO KUMALIZIKA
Na; Selemani Msuya
ASASI za Kiraia kutoka nchi za Maziwa Makuu zimeshauri nchi za Afrika kuungana pamoja kuhakikisha vita vinavyoendelea katika mji wa Goma nchini...
SERIKALI KUTOA FEDHA ZA KUKAMILISHA MIUNDOMBINU YA AFYA NA ELIMU
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akieleza utayari wa Serikali wa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kimkakati...