BUNGE LAPITISHA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI WIZARA YA NISHATI 2025-2026
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith...
WATENDAJI UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA.
Na. Mwandishi wetu, Iringa
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kufanya kazi kwa kuzingatia...
DKT NCHEMBA ASHAURI NCHI ZILIZOENDELEA KURAHISISHA UPATIKANAJI WA MIKOPO.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza katika Jukwaa la Ufadhili wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2025...
MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA...
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Aprili 29, 2025 ni mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari, inayofanyika katika ukumbi...
MTOTO ASIPOPATA CHANJO HATARINI KUPATA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA -MHAGAMA
Na. WAF, Tabora
Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ameiasa jamii kuwa mstari wa mbele kuhakikisha watoto wote wanaostahili kupata chanjo wanapata ili kujikinga na...
TAASISI ZA HABARI ZATAKIWA KUSHIRIKIANA NA BUNGE KULANGWA
MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Joseph Kulangwa, ametoa mwito kwa taasisi za habari kuimarisha ushirikiano na Bunge la...