DKT. MWIGULU AKAGUA UHARIBIFU WA KITUO CHA POLISI KIKATITI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani...
WAZIRI MKUU AKAGUA UHARIBIFU KITUO CHA MAFUTA CHA TOTAL*l
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Mafuta cha Total kilichopo Maji ya Chai ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu...
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati...
MHE.. NDEJEMBI AWAHAKIKISHIA UMEME WA UHAKIKA WAKAZI WA KIGAMBONI
■ Afanya Ziara katika Kituo cha Dege
■ Aelekeza hatua za haraka kuchukuliwa kunusuru hali ya umeme Kigamboni
■Umeme wa Megawati 22 kupatikana kwa hatua za...
MSAMA: TUWAPUUZE WANAOLIPWA KUVURUGA AMANI YETU
Mfanyabiashara malufu nchi Tanzania Ndugu Alex Msama amewataka Watanzania kuwapuuza watu ambao wanalipwa ili kuvuruga amani ya nchi yetu ya Tanzania na mara nyingi...
SERIKALI YAJIPANGA KUTEKELEZA SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP DS/AI+
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda na Naibu Waziri Mhe. Wanu Hafidh Ameir wameongoza Wataalamu wa Wizara na Kamati ya Program...










