MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA JENISTA MHAGAMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika Kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo...
FAMILIA YA KICHWABUTA BUKOBA KUSAIDIANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIUCHUMI, KIELIMU
Na Mwandishi Wetu
Familia ya Kichwabuta kutoka Bukoba imeanzisha umoja wa kusaidiana kiuchumi, kielimu na pale mwanaukoo anapopatwa na changamoto na kulinda tamaduni wao.
Umoja huu...
SERIKALI YATANGAZA MABADILIKO JESHI LA MAGEREZA
Na: Mwandishi Wetu,DodomaWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amesema kuna haja ya kubadili Mfumo wa Magereza nchini ili kuendana na kasi ya...
DKT. MWIGULU: TUTAMUENZI KWA VITENDO MAREHEMU JENISTA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na aliyekuwa mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, Marehemu Jenista Mhagama ikiwemo kuimarisha...
MAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam kuhakikisha...
NAIBU WAZIRI KIHENZILE AIPONGEZA TARURA KUBORESHA BARABARA ZA WILAYA.
Arusha
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kuleta mchango mkubwa kwenye sekta ya uchukuzi...










