MHE.NCHIMBI AMEFUNGUA SEMINA ELEKEZI KWA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI DAR ES...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amefungua Semina Elekezi kwa Mawaziri na Naibu Mawaziri inayofanyika katika Kituo...
MHE.HEMED SULEIMAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI NA WANANCHI KILELE CHA MAADHIMISHO...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Viongozi wa Serikali, Watendaji kutoka Tasisi mbali mbali na wananchi waliofika...
MWENYEKITI WA CCM DKT. SAMIA AKITETA JAMBO NA DKT. MIGIRO
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Katibu...
RAIS SAMIA: POLISI WAACHE KUMTAFUTA DKT. GWAJIMA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu Dkt. Josephat Gwajima kama walivyokuwa wametangaza...
DKT. MWIGULU AKAGUA UHARIBIFU WA KITUO CHA POLISI KIKATITI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani...
WAZIRI MKUU AKAGUA UHARIBIFU KITUO CHA MAFUTA CHA TOTAL*l
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Mafuta cha Total kilichopo Maji ya Chai ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu...










