LOCAL
Home LOCAL
WAZIRI NANAUKA ATOA MAAGIZO KWA MAAFISA MAENDELEO YA VIJANA NCHINI
✅Ataka Maafisa hao kuwa na takwimu sahihi za vijana
✅Kuunganisha vijana na programu na fursa za Ujuzi, Ajira na Uwezeshaji Kiuchumi
Na: Ofisi ya Rais,...
RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA BALOZI WA KENYA NCHINI TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Kenya anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Mhe. Isaac...
WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA MKOANI SONGWE KUKAGUA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU ZILIZOHARIBIWA...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 17, 2025 akizungumza na wakazi wa eneo la Tunduma mkoani Songwe ambapo yupo katika ziara ya kikazi...
MONGELLA AMUWAKILISHA DKT. MIGIRO MAZISHI YA JENISTA MHAGAMA PERAMIHO
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro leo...
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA ZA KIKAZI SONGWE NA MBEYA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 16, 2025 amewasili katika uwanja wa ndege wa Songwe.
Mheshimiwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu atakuwa na ziara ya...
DKT. MWIGULU ASHIRIKI MAZISHI YA MHE. JENISTA MHAGAMA.
*Atoa maagizo kwa Mkandarasi wa barabara ya Kitai-Ruanda._
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Desemba 16, 2025 ameshiriki katika Mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa...










