LOCAL
Home LOCAL
MONGELLA AMUWAKILISHA DKT. MIGIRO MAZISHI YA JENISTA MHAGAMA PERAMIHO
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro leo...
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA ZA KIKAZI SONGWE NA MBEYA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 16, 2025 amewasili katika uwanja wa ndege wa Songwe.
Mheshimiwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu atakuwa na ziara ya...
DKT. MWIGULU ASHIRIKI MAZISHI YA MHE. JENISTA MHAGAMA.
*Atoa maagizo kwa Mkandarasi wa barabara ya Kitai-Ruanda._
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Desemba 16, 2025 ameshiriki katika Mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa...
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA JENISTA MHAGAMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika Kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo...
FAMILIA YA KICHWABUTA BUKOBA KUSAIDIANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIUCHUMI, KIELIMU
Na Mwandishi Wetu
Familia ya Kichwabuta kutoka Bukoba imeanzisha umoja wa kusaidiana kiuchumi, kielimu na pale mwanaukoo anapopatwa na changamoto na kulinda tamaduni wao.
Umoja huu...
SERIKALI YATANGAZA MABADILIKO JESHI LA MAGEREZA
Na: Mwandishi Wetu,DodomaWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amesema kuna haja ya kubadili Mfumo wa Magereza nchini ili kuendana na kasi ya...










