LOCAL
Home LOCAL
SANAA NI UCHUMI-MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejidhatiti kuendelea kukuza na kuimarisha sanaa nchini ikiwa ni moja ya sekta rasmi ya kiuchumi.
Ametoa kauli hiyo leo...
TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI KUFANYIKA JUNI 2025
Mkurugenzi wa Msama promotion na Muandaaji wa Tamasha la Kuombea Uchaguzi Alex Msama amesema tamasha la Kuombea Uchaguzi Mkuu litafanyika tarehe 21 june 2025...
OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI MBIONI KUKAMILISHA ZOEZI LA UREKEBU...
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali iko katika hatua za mwisho za kukamilisha zoezi la Urekebu wa Sheria mbalimbali nchini.
Hayo yameelezwa na Mwandishi Mkuu...
FEDHA ZILIZOKUSANYWA BUNGE MARATHONI ZINATUMIKA IPASAVYO-MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania fedha zilizokusanywa katika mbio za hisani za Bunge zitakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa.
Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Aprili 12, 2025)...
BALOZI NCHIMBI ASAINI KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU 2025
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameshiriki katika utiaji saini wa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais,...
WADAU ZAIDI YA 500 KUSHIRIKI WIKI YA AZAKI 2025 MWEZI JULAI...
Kuelekea katika wiki hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa FCS Justice Rutenge amewahimiza wananchi kupaza sauti zao kwa kutoa maoni yatakayopelekea kupata dira bora kwa maendeleo...