OTHMAN KUFANYA MABADILIKO MAKUBWA VISIWA VIDOGO VIDOGO UNGUJA, PEMBA
Mgombea Urais wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, ameahidi kuleta mageuzi makubwa katika utoaji wa huduma za kijamii kwa wananchi wanaoishi katika visiwa vidogo...
DKT. SAMIA AAHIDI KUIMARISHA HUDUMA ZA MAWASILIANO NA TEHAMA VIJIJINI
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Ilani ya Chama chake anayoinadi sasa...
TUTAONDOA MAGUGU MAJI ZIWA BABATI NA KUNUNUA BOTI ZA UVUVI ...
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kutatua changamoto ya...
TUNATAKA HANANG IZALISHE NGANO TANI MILIONI MOJA KWA MWAKA- DKT. SAMIA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema dhamira ya Chama Cha Mapinduzi CCM...
SERIKALI YAINGIZA MABASI 60 NJIA YA KIVUKONI-KIMARA-MAJALIWA
_Asema sasa njia hiyo itakuwa na mabasi 90_
_Asema lengo ni kuhakikisha kero ya usafiri katika njia hiyo inakwisha_
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali...
NHC YAZINDUA NYUMBA ZA KIFAHARI JIJINI DAR ES SALAAM, TANGA NA...
Dar es Salaam
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limezindua rasmi mauzo ya nyumba katika miradi mikubwa ya kisasa jijini Dar es Salaam na mikoa...










